Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,860
- 38,464
😀😀😀Hukuzipiga picha nione.Ni kweli,kupika chapati,mandazi na vitu vya ngano ni mtihani mgumu sana
Juzi jumamosi nilisema nijaribu kupikia chapati nyumbani nikakandia maziwa,blueband nimeweka lakini chapati zilivyotokea sasa!!!nikaamini kupika chapati is not my thing
Ila me za kumimina kiukweli huwa hazinisumbui. Yaani nazipatia hata kuzigeuza nafanyaga kwa kuzirusha tu.