Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Tafuta uzi wa chapati laini hapa nliweka mda jaribu hiyo recipe natumai chapati zitakua nzuri
 
MAANDALIZI

1.Kwanza hakikisha unakanda unga vizuri

2.Lazima unga uukande mpaka uwe laini sana

3.Baada ya kukata madonge ya idadi ya chapati unazo zitaka

4.Wakati wa kusukuma tumia unga kuhakikisha unapata duara kubwa kiasi

5.Yeyusha samli au blue band changanya na mafuta kupaka katika duara lako

6.Kunja unavyopenda ila kumbuka jinsi unavyo ikunja ndio inatengeneza muonekano mzuri wa chapati

7.Baada ya kuziweka mafuta ni vizuri uziache kiasi cha dakika 10 mpaka 15 kabla ya kuzipika

8.Sukuma chapati jitahidi upate duara zuri lenye shape ya kuvutia

9.Unapo sukuma chapati isiwe nyembamba wala nene sana iwe na upana wa kiasi

10.Chapati ikiwa nyembamba sana unapo ichoma huwa ina kakamaa na ikiwa nene sana huwa haiivi vizuri inaweza kuwa mbichi

JINSI YA KUPIKA

1.Moto hapa ndio kwenye mambo yote ukikosea chapati nayo inaweza kuwa mbaya

2.Moto ukiwa mdogo hupelekea chapati kunyonya mafuta

3.Moto ukiwa mwingi chapati huungua
If the heat is high the chapati will be burnt

4.Weka moto wa wastani ili uivishe chapati yako taratibu

5.Weka chuma jikoni pakaa mafuta kijiko kimoja

6.Weka chapati yako jikoni

7.Iache kidogo sana yaani ikisha kubadilika kutoka ubichi tu geuza upande wa pili

8.Acha iive mpaka ianze kufanya rangi za kuiva

9.Usiache mpaka ikaungua

10.Izungushe zungushe kwenye chuma ili sehemu zote zipate ile rangi ya kuiva hasa nchani mwa chapati

11.Ikunje sehemu mbili sawa

12.Weka mafuta kijiko kimoja


13.Penyeza kijiko kati kati ya chapati

14.Fanya kama unaigandamiza huku ukiisugua na china

15.Ongeza mafuta kidogo izungushe chapati hadi ups chapati yako itakua tayarii kwa kuliwa.
 
sijawahi kupika chapati ikawa laini nakwama wapi?
Huwa naweka unga kwenye bakuli
Natia pinch ya sukari
Natia mafuta ya moto,nachanganyachanganya mpaka yale madonge yapotee
Natia maji ya moto,nakanda linakuwa donge kubwa halafu nalifunika,baada ya nusu saa nakata madonge na kumalizia hizo process lkn chapati haiwi LAINI, msaada tafadhali nakwama wapi?
Nalog offHu
 
sijawahi kupika chapati ikawa laini nakwama wapi?
Huwa naweka unga kwenye bakuli
Natia pinch ya sukari
Natia mafuta ya moto,nachanganyachanganya mpaka yale madonge yapotee
Natia maji ya moto,nakanda linakuwa donge kubwa halafu nalifunika,baada ya nusu saa nakata madonge na kumalizia hizo process lkn chapati haiwi LAINI, msaada tafadhali nakwama wapi?
Nalog offHu
Haha chapati inakuwa ngumu km mkate wa zamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom