cadey
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 1,455
- 4,410
jifunze na vitumbua pia vinalipa watu wengi hawauzi
Ok sawa asante sana nimekupata
Ok sawa asante sana nimekupata
Asante Dada nitajifunza piajifunze na vitumbua pia vinalipa watu wengi hawauzi
Jana alinambia hzo ndo sekta zake atanifundisha sasa naona kimyamuombe miss natafuta akufundishe
pm herJana alinambia hzo ndo sekta zake atanifundisha sasa naona kimya
Ok thankspm her
Chapati zinachomwa, pikwa au kaangwa!?
Haha chapati inakuwa ngumu km mkate wa zamanisijawahi kupika chapati ikawa laini nakwama wapi?
Huwa naweka unga kwenye bakuli
Natia pinch ya sukari
Natia mafuta ya moto,nachanganyachanganya mpaka yale madonge yapotee
Natia maji ya moto,nakanda linakuwa donge kubwa halafu nalifunika,baada ya nusu saa nakata madonge na kumalizia hizo process lkn chapati haiwi LAINI, msaada tafadhali nakwama wapi?
Nalog offHu
Ktk vitu vigumu kupiga basi ni hiki.