Son Of Light
Member
- Aug 12, 2019
- 40
- 10
Wana JF Habari zenu! Natumaini mko poa
Naomba mnisaidie namna ya kupata update za maombi niliyofanya mwezi July kwenye system ya TAMISEMI ya kutuma maombi!
Tangu deadline ipite nikifungua haifunguki sielewi jamani au hayajaenda hayo maombi?
Karibini kwa msaada
Naomba mnisaidie namna ya kupata update za maombi niliyofanya mwezi July kwenye system ya TAMISEMI ya kutuma maombi!
Tangu deadline ipite nikifungua haifunguki sielewi jamani au hayajaenda hayo maombi?
Karibini kwa msaada