Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,718
Kwa takribani miongo mitatu sasa JF imeendelea kuwa chimbo la maarifa tukufu kwa kila rika, yote ni kwa sababu kuwa humu ndani kuna watu mbalimbali kutoka katika kila kona ya dunia wengi wakiwa na hasili ya Afrika.
Since elimu haina mwisho naomba uzi huu uwe kituo cha wenye kutaka kujua ni namna gani wanaweza pata mishangazi ya kimataifa.
Kati ya mishangazi ya kiswahili na kizungu bora ipi? ~ jaymore voice
Mimi binafsi ni mtupu kwenye elimu hii, basi naomba ambaye amewahi kupata si mshangazi pekee bali hata mzungu wa rika lake akiwa ndani ya ardhi ya Tanzania na mshangazi ukiwa majuu atujuze hapa.
Natanguliza Shukurani.
#mamsup_lakizungu #mamsup_lakitasha #mshangazi_white #mshangazi_dollar #mshangazi_USA
#UKmshangazi_
#MichiganMshangazi
#NEWYORK_mamsap
Since elimu haina mwisho naomba uzi huu uwe kituo cha wenye kutaka kujua ni namna gani wanaweza pata mishangazi ya kimataifa.
Kati ya mishangazi ya kiswahili na kizungu bora ipi? ~ jaymore voice
Mimi binafsi ni mtupu kwenye elimu hii, basi naomba ambaye amewahi kupata si mshangazi pekee bali hata mzungu wa rika lake akiwa ndani ya ardhi ya Tanzania na mshangazi ukiwa majuu atujuze hapa.
Natanguliza Shukurani.
#mamsup_lakizungu #mamsup_lakitasha #mshangazi_white #mshangazi_dollar #mshangazi_USA
#UKmshangazi_
#MichiganMshangazi
#NEWYORK_mamsap