Nilinunua Unlocked Blackberry Storm II ya Verizon toka maduka yanayouza bidhaa hii kwa njia ya mtandao huko Marekani.
Rafiki yangu tuliyenunua naye pamoja Blackberry Storm II ameweza kuitumia simu yake nchini Afrika Kusini na ameweza kupata Blackberry services bila shida lakini mimi nimejaribu kwenda Vodacom, Airtel na Tigo, kampuni zote hizi zimeshindwa kuniingiza kwenye huduma ya Blackberry. Kwa sasa ninaweza kuitumia kama simu ya kawaida kwa kuwa inakubali sim cards zote.
Kuna mtu ana utaalam au maarifa wa kuchakachua hii "unlocked Blacberry Storm toka Verizon" ili niweze kutimia hapa Bongo?
Noamba ushauri.
Rafiki yangu tuliyenunua naye pamoja Blackberry Storm II ameweza kuitumia simu yake nchini Afrika Kusini na ameweza kupata Blackberry services bila shida lakini mimi nimejaribu kwenda Vodacom, Airtel na Tigo, kampuni zote hizi zimeshindwa kuniingiza kwenye huduma ya Blackberry. Kwa sasa ninaweza kuitumia kama simu ya kawaida kwa kuwa inakubali sim cards zote.
Kuna mtu ana utaalam au maarifa wa kuchakachua hii "unlocked Blacberry Storm toka Verizon" ili niweze kutimia hapa Bongo?
Noamba ushauri.