Nyigo Jackson Jn
Member
- Sep 2, 2013
- 88
- 7
kwel hili ni jamvi la ma great thinkers hongeleni guyz!
A think this is the best thread which has insire me
Vipi hizi gpa kwa chuo kama udsm
Rule 1: Go do what you are supposed to do, not what you want to do.
Rule 2: Rule 1 shall always prevail, mutatis mutandis!
Ahsante, masomo mema.
Ikumbukwe point 5 ni kupata masomo yote 100% ikiwa na maana first class ni 4.4 mpaka 5.0 na kupata mfano ukiwa na A unaingiza kwenye formula 0.02X+3 so 70 ni 0.02x70+3=1.4+3=4.4
Kwa marks 100 inakuwa 0.02x100+3=2+3=5
Hapo ndio point 5 inakuwa imetengenezwa kwa somo moja then upate hivyo kwa masomo yote ili average iwe 5,si kazi ndogo
Ikumbukwe point 5 ni kupata masomo yote 100% ikiwa na maana first class ni 4.4 mpaka 5.0 na kupata mfano ukiwa na A unaingiza kwenye formula 0.02X+3 so 70 ni 0.02x70+3=1.4+3=4.4
Kwa marks 100 inakuwa 0.02x100+3=2+3=5
Hapo ndio point 5 inakuwa imetengenezwa kwa somo moja then upate hivyo kwa masomo yote ili average iwe 5,si kazi ndogo
Soma sana,ipend fan yako,ucwe mbnafc ktoa mawazo kwa wenzako,ifany akili yako irelax inapchoka!na fanya maamuz sahih,ikiwem kusoma vitbu mbalimbl na hata kwny intrnet kwn kuna topic nzur sana!
Hebu toa ukungu hapa tuone vizuri...hivi hizi GPA zinaanza kuhesabiwa kuanzia mitihani ya mwanzo ama wanahesabu za alama ulizovuna mwaka wa mwisho tu
Ila chakuongezea usifanye mambo kwa kucomplicat utadisco
Welcom guys chuo mama
hahaha wankumbusha mbaaaliiii "mutatis mutanis"