Jinsi ya kupata chakula bure zaidi ya Mara 10 kila mwaka

KingOligarchy Mrusi wa Bongo, Mbona huu msosi uliojaa mbalaga inaonekana Kama unasindikizwa na kamyama fulani amazing🐽🐷🐽🐷
Hahahahhahah, Kule russia tunatumia neno Тушеная капуст hii nikimaanisha side dish ya cabbage + Kurnik huyu ni kuku wa kirusi.
ukishiba tunaenda kurelax pale Tsaritsyno Park, kwenye jiji la moscow huku tukipata Stolichnaya Eli au Beluga au drova vodka safi sana hizi za kirussia.
 
Watu wataona umeandika ujinga ila mimi nakupongeza.
Kila kitu kinaanzia kwenye chakula..
Afya bora-chakula
Maradhi-chakula
Elimu-chakula
Biashara-chakula

Kila tunachofanya ni kwa ajili ya tumbo kwanza..
Hata hawa wadada ukiwataka lazima uanze na outing nzuri nzuri za vyakula na vinywaji...
 
Hahahahahah, Tatizo linakuja ule muda wa kupledge sasa.... kile chakula cha kikao kinalipiwa kile! msosi mwingine ni kuhudhuria msibani
Misosi ya Msibani hakunaga Kuku, ni mwendo wa Maharage au Nyama moja tu. Ila utakula bure bila kulipia.

Na kama limeletwa sinia kubwa wenzio wanawahi nyama kwanza wewe unaambulia ubwabwa tu.
 
hhahahahahahhahah mpaka umeona nimeandika hivi jua nina IQ kubwa sana 123 IQ nimekuwa categorized kwenye Group la kuwa Gifted, Duniani tupo asilimia 6.4% tu ya total population. Eat some food if you can invest
Eat more food the slogan say...... Hahahahhah
 
KingOligarchy hii inaitwa nguvu ya hisa. Japo bado najiulza umefikiria kitu gan kufanya relation ya hisa na menu.
Nimetoa Elimu kwa njia nyepesi, Haki za mwanahisa! As a Russian Corporate Trainer nina wajibu wa kufanya delivery ya message kwa lugha nyepesi! welcome to финансы hii tunaiita finansy kwa kirusi! Hashtag экономический (matamshi "ekonomicheskiy") Hitman
 
Kaka umeongea kimafumbo lakini una point sana wengine wataona msosi tu lakini mimi nimeona kupitia kuhudhuria annual general meeting za makampuni makubwa itakupa fursa kukutana na watu watakao kuinspire na kunapossibility ya kufunguliwa fursa nyingi za kiuchumi. Big up mzee idea yako nmeielewa sana
 
Mkuu umetumia akili kubwa sana kuandika huu uzi,
Nimetabasamu muda wote niliokuwa napitia uzi huu😆😆
Kupitia uzi huu watu watanunua hisa (itawasaidia kujiongezea kipato)
Wataongeza nafasi ya kukutana na watu mbali mbali hii ni fursa
Watakula bure pia kama jina la uzi linavyosema
Asante sana !!!
 
:):):):):):):)
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
View attachment 1971999
View attachment 1972001

Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa) :):):):):):)
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA

kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia

sizzler-alley-1920x1440.jpg



:):D:D:D:D:D:D:D:D dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
View attachment 1972014
C-4-1024x683.jpg


WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING

E3qemRBWUAMNGUv.jpg


:p:p:p:p:p
CRDB-AGM.jpg
Ila we jamaa utakuwa na happy life u r so funny aisee umewaza Nini?
 
Back
Top Bottom