Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Ukiweka sofa na situli ama kiti chumbani inakuwa ngumu kumu aproch demu akupe mzigo ila kitanda na mashuka mazuri na masafi chumbani ndo kila ki2
 
Lol! Si unawaambia tu watu wasiojulikana walitaka kunivamia na mimi nikafyatua tu gizani bila hata ya kurenga.

Mie mambo ya kuisaidia polisi bila mshahara siwezi
 
  • Thanks
Reactions: ram
Lol! Si unawaambia tu watu wasiojulikana walitaka kunivamia na mimi nikafyatua tu gizani bila hata ya kurenga.

Ahahahahah...polisi wa nchi hii unawajua, ulikuwa unajikoa matokeo yake unasweka lumande kuwasaidia, unawasaidi wewe huku unasota lumande siku unachiwa huna kosa hawakupi hata hela ya nauli
 
Hii ndio rangi ya bedroom yangu...wengi wananishangaa kwa hii rangi!

54c15e3a12cf2_-_rating-and-design-interiors-modern-transitional-bedroom-xln.jpg
Yes the colour is too dark
 
Kuna ambao wanaona wanaona nisawa ila asilimia kubwa ya ambao nafahamiana nao wanaona sio sawa TV kuwepo chumbani
Maisha yetu ya kiswahili TV chumbani is inevitable! Kugombania remote sitting room na housegirl au watoto sio sawa.
Unakaa zako chumbani unaangalia vipindi vyako wwakati wao wanaangalia cartoons.
 
Maisha yetu ya kiswahili TV chumbani is inevitable! Kugombania remote sitting room na housegirl au watoto sio sawa.
Unakaa zako chumbani unaangalia vipindi vyako wwakati wao wanaangalia cartoons.
Mkuu uwe na Private room, kama ofisi, chumba cha maombi TV humo humo, na faragha zingine zisizo na usumbufu.
 
Kuna watu wanalalamikia swala la uswahili na utanzania in short unajikuna pale unafikia ...hali yako ya kiuchumi pia inaweza kuamua muonekano wa chumba chako...na swala la nini kiwepo chumbani pia kinaendana hobby ya mmiliki na utamaduni wake...hakuna must katika hili..mf wajapan wanalala chini kwenye vigodoro flan hv, nchi za kiarabu zulia lina maana kuliko sofa from Italy
 



Nyumba ni urembo, nyumba ni mapambo, ili nyumba iweze kuvutia inahitaji mazingira yenye hadhi ambayo yanaweza kumvutia mtu kwa muonekano wake wa nje na ndani pia inaweza kumvutia mtu kutokana na rangi za chumba.

Watu wengi huweka mazingira safi jikoni, sebuleni na kusahau kuwa chumba cha kulala pia kinatakiwa kuwa safi muda wote kwani ni sehemu ambayo inatumiwa kwa mapumziko.

Ili kuweze kupumzika vizuri baada ya mizunguko ya kutwa nzima ni vizuri chumba kikawa katika muonekano mzuri ambapo sambamba na hilo uwepo mpangilio mzuri wa nguo na fenicha.

Chumba cha kulala hakitakiwi kuwa na vitu vingi, kinahitaki kuwa na hewa ya kutosha ili kumuwezesha mtumiaji kuweza kupata hewa safi pia inamsaidia mtumiaji kuweza kufanya usafi sehemu zote kutokana kuwepo kwa nafasi ya kutosha.

Epuka kujaza vitu vingi chumbani kama computer, meza viti, kapu la nguo chafu, kwani vitu hivyo vinaweza kuwekwa sehemu nyingine ya nyumba na chumba kubaki mahali pa kupumzika tu.

111.jpeg
222.jpg
 
Back
Top Bottom