SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 967
- 1,015
Ila ni mambo yanayotokea katika hali ya kiroho zaidi kuliko kimwili ndio maana wengine huita ni uchawi..si kila kitu ni uchawi mkuu
Kundini maana yake nn mkuu, yaani niombe sana amaNgoja nikujibu kwa Niaba yao_wangekuambia
"Hayo ni majibu ya maombi ya rohoni ambayo Bwana ameamuamua kuyajibu kwa wakati wake unaofaa
Kwa maana Bwana ameyasikia maumivu yako na ameamua kumtuma mjumbe wake kuja kukuweka huru kutoka katika mikono ya yule mtesi yule Joka zamani afungie na kuwatesa wana wa Mungu wa kweli kimwili na kiroho
Hivyo Bwana amekupa nafasi tena kwa kukutoa kwenye kamba za mauti na kukuacha huru iliumjue na kumtumkia
Fungua ya Kwanza_ikimaanisha Uhuru wako u malangoni pako ni jukumu lako sasa kuchagua utumishi wa Bwana ili uwe huru kwelikweli
Fungua ya pili inanaanisha......." Ngoja niishie hapa tafsiri ya hii huipati mpaka uingie kundini
Sent using Jamii Forums mobile app
Chai ya maziwa hii
uongoUnamaanisha nn mkuu
Mkuu ndoto hiyo ni ishara kuwa una mambo yanayo kubughuzi katika maisha na yanakupa wakati mgumu kuyatatua lakini njia moja tu ndio unayofahamu kuwa unaweza kuitumia wakati una nyingine mbili hujawahi kuzitumia na unazo..Mkuu kuna ndoto nimeota juzi kwenye ndoto naonekana nipo kwenye gereza alafu kuna m2 akaja akanipa funguo 3 moja ya kufungulia mlango wa geleza na hizi nyingine mbili nimesahau zilikuwa za nini, kama una idea kidogo ya ndoto hii inamaanisha nini nitashukuru ukinisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuota unapaa mara nyingi wanaota watu wenye msongo wa mawazo sana na mchoko wa akili lakini kwa nafasi kubwa ni ndoto ya shetani kukuchezea shere au kwa asilimia kidogo sana naweza kusema kama huwa unaota mara kwa mara basi ni ishara unanguvu za miujiza za kupaa hewani soma zaidi psychic powers
Ikiwa ulimuogopa kupitiliza yule bundi ni ishara kuwa umekumbwa na jini, na maana ya yule mtu kumsukuma shimoni ni ishara utawashinda maadui zako lakini utaendelezewa vita kitofautiHabr zenu wakuu, Mm bwana nimeota nilikuwa kwenye umati wa wa2 tukiwa tunaangalia wa2 wakifanya maonyesho yakuruka kwenye shimo lefu sasa kwa bahati mbaya nikamsuka mmoja wa wale wa2 wanaoluka lile shimo na bado nusu jamaa aanguke sasa mwenzao aliyekuwa pembeni yangu akaniambia nitulie nisitingishike sana. Nikaamua kuhamia upande mwingine ili nisiwabuguzi ss nilivyokuwa ule upande nikaona bundi kutoka angani anakuja wa2 wakasema bundi bundi na yule akaja moja moja akatua mbele yangu na macho yake makubwa yale yakanishtua nikaamka. Yaani apa nilipo nina wasiwasi na maana ya hii ndoto so Kama kuna m2 atakayeweza kunitafsiria nitashukuru
Jambo la kufikirika hili mkuuUshetani mtupu!
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Unachokifanya sio kitu kizuri, na unajua kabisa unachohamasisha sio kitu cha kiMungu bali ni kushawishi watu kutafuta ushirika na majini, mizimu na pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Ngoja nami nijaribuAnza Na Beat Hiyo Download Halafu Uje Nikupe Maelekezo Jinsi Ya Kuitumia...
"Rakims"
Nipe maelekezo jinsi ya kuanza nimeshaipakuaAnza Na Beat Hiyo Download Halafu Uje Nikupe Maelekezo Jinsi Ya Kuitumia...
"Rakims"