Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nijitahidi mkuuIsome vema mkuu
Very sure mimi huwa nawasimulia watu wanasema uongo kwamba siyo kweli uote huku unajua unaota. Nimeanza lucid tangu niko primary now mtu mzima . Kila siku huwa najiona mimi ni mtu wa ajabu sana.Hii Ni Maalumu Kwa Wanaojua Maana Ya Lucid Dreams,Brain Function,mind ideas na yote yanayohusu ubongo wa binaadamu... Wengine Muendelee Kuona Kama Hadithi Njoo Utam Nogea.. Sio Mbaya..
"Rakims"
Pole mkuu, ndoto hiyo mara nyingi humuwakilisha shetani wa mahaba, lakini kwa hapo maana yake ni watu wanaolazimu zaidi kutumia kipato chako ni wazazi na hapo imeingia picha ya wachawi waliovaa sura za mama zako kwa ajili ya chuma ulete, huyo mama unaekimbia nae ni akili yako tu imekutengenezea msaada hapo wa kujiona haupo peke yako, lakini kwa maana ya ujumla ni kuwa jihadhari na matumizi ya pesa utakuwa unapata pesa zinayayukaMkuu mm kuna siku niliota nipo sebuleni na mother wang wa kambo tukizozana kuhusu hela,yeye alikuwa antk hela zang nilizokuwa Nazo mkononi bas kwa kuwa tulikuwa tunazozana mm nikaamua jumps zile hela ila pindi nilipotoka nje nikawa nakimbizwa naangalia nyuma naona ni mama yang mzaz na wa kambo ndo wa2 wanaonikimbiza Alf nikaangalia pemben yang nilikuwa nakimbia na mama yangu mdogo ila pindi tunakimbia tukawa tunaokota uyoga kama kinga zidi yao. Inamaana gani hii ndoto mkuu maana imeniumiza kichwa sana
Hongera mkuu, mwisho wa siku utakuwa one of masters wa lucid dreamsVery sure mimi huwa nawasimulia watu wanasema uongo kwamba siyo kweli uote huku unajua unaota. Nimeanza lucid tangu niko primary now mtu mzima . Kila siku huwa najiona mimi ni mtu wa ajabu sana.
Kwa mtu ambaye hajawahi kufanya lucid atapinga na ataona ni miujiza but its real.
Nimekatisha ndoto nyingi sana mfano za kukimbizwa either na mnyama mkali.
Kuna ndoto zingine huwa naamua kuziendeleza nione mwisho wake nini.
Kiukweli ni kitu nashukuru Mungu kwa kunipatia inakufanya uenjoy na ujue mambo makubwa.
Asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri na nimekuelewa ila apo kwenye shetani wa mahaba unamaanisha nn mkuu, samahani kwa usumbufuPole mkuu, ndoto hiyo mara nyingi humuwakilisha shetani wa mahaba, lakini kwa hapo maana yake ni watu wanaolazimu zaidi kutumia kipato chako ni wazazi na hapo imeingia picha ya wachawi waliovaa sura za mama zako kwa ajili ya chuma ulete, huyo mama unaekimbia nae ni akili yako tu imekutengenezea msaada hapo wa kujiona haupo peke yako, lakini kwa maana ya ujumla ni kuwa jihadhari na matumizi ya pesa utakuwa unapata pesa zinayayuka
Rakims
Mkuu, kipindi nipo mdogo nilikua nikiota ndoto nimeshika shiling 50 nimezima mkononi lakin nikishtuka najikuta sina pesa basi huwa macheka na usingizi hapo hapo unaisha then najiona mwenye furaha sana kikumbuka nilivyo kuwa na-otaHongera mkuu, mwisho wa siku utakuwa one of masters wa lucid dreams
Rakims
Looh.! Hii fursa kwa Mlokole kabisaMkuu kuna ndoto nimeota juzi kwenye ndoto naonekana nipo kwenye gereza alafu kuna m2 akaja akanipa funguo 3 moja ya kufungulia mlango wa geleza na hizi nyingine mbili nimesahau zilikuwa za nini, kama una idea kidogo ya ndoto hii inamaanisha nini nitashukuru ukinisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikujibu kwa Niaba yao_wangekuambia