STRATON MZEE
Member
- Jan 4, 2012
- 59
- 17
Wanabodi habarini za majukumu. Mimi ni mjasiriamali ambaye nataka nijikite kwenye kuboresha na kupaki bidhaa za vinywaji vya asili kama mbege, togwa, na vileo vya mananasi n.k. changamoto ninayoipata ni kuwa, bidhaa hizi huaribika ndani ya Muda mfupi kama siku moja au mbili. Naomba mwenye utaalamu wa jinsi ya kuongeza shelf life ya bidhaa hizo ili zidumu japo wiki moja au mbili bila kuharibika au kupoteza quality yake. Hata kama Kuna additives ambazo ni halali na hazitobadili uasilia wa bidhaa zenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app