JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,014
Mwanasiasa anaposhinda uchaguzi anatakiwa azungumze kwa namna itakayoteremsha joto la uchaguzi. Hii ni hotuba aliyoitoa Bill Clinton wa Marekani baada ya kushinda uchaguzi.
Nilitaka niweke hotuba ya Obama lakini nadhani ile ina vionjo vya kihistoria.
Aliyeshindwa uchaguzi naye anatakiwa atambue ushindi wa mwenzake, awafute machozi mashabiki wake, na aahidi kushirikiana na walioshinda uchaguzi.
Hotuba aliyotoa John Mccain mwaka 2008 inakubalika kama moja ya nzuri iliyotolewa na mgombea aliyeshindwa uchaguzi.
Nilitaka niweke hotuba ya Obama lakini nadhani ile ina vionjo vya kihistoria.
Aliyeshindwa uchaguzi naye anatakiwa atambue ushindi wa mwenzake, awafute machozi mashabiki wake, na aahidi kushirikiana na walioshinda uchaguzi.
Hotuba aliyotoa John Mccain mwaka 2008 inakubalika kama moja ya nzuri iliyotolewa na mgombea aliyeshindwa uchaguzi.