Jinsi ya kuomba kuwa government-sponsored student kwa ngazi ya Diploma

Dec 25, 2020
28
49
Kama nilivyoelezea hapo wakuu, Kunae ndugu yangu mmoja anahitaji kwenda diploma ila natamani aende kama government sponsored student ili kupunguza gharama.

Kwa yeyote mwenye kufahamu hili na namna ya kuomba tafadhali anijuze hapa.
 
Akamalza kdato cha4 kna form hua wanapewa kujaza machaguo anoyataka e.g either advnc o technical college.... Achague first option techncal college..... Kna Dit,Must,atc na Wdmi ndo wantoa govt sponsor!!!!! Chamcng apate ufaul mzur angalau CCCC kwny masom ya phz,chem,bios,english na math!!! Apo post akchaguliw post zktoka anakua govt sponsored student directly
 
Akamalza kdato cha4 kna form hua wanapewa kujaza machaguo anoyataka e.g either advnc o technical college.... Achague first option techncal college..... Kna Dit,Must,atc na Wdmi ndo wantoa govt sponsor!!!!! Chamcng apate ufaul mzur angalau CCCC kwny masom ya phz,chem,bios,english na math!!! Apo post akchaguliw post zktoka anakua govt sponsored student directly
Nashukuru mkuu, ila Huyu alimaliza kidato muda mrefu kidg
 
Back
Top Bottom