Rastafarian 25
Member
- Dec 25, 2020
- 28
- 49
Kama nilivyoelezea hapo wakuu, Kunae ndugu yangu mmoja anahitaji kwenda diploma ila natamani aende kama government sponsored student ili kupunguza gharama.
Kwa yeyote mwenye kufahamu hili na namna ya kuomba tafadhali anijuze hapa.
Kwa yeyote mwenye kufahamu hili na namna ya kuomba tafadhali anijuze hapa.