cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,638
- 4,978
Matopito yanazidiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matopito yanazidiana
Kwanini msimrudishe kabla ya kuzika maana ikutangazika kafa si itskuwa balaa akuonekan tena.
Mkuu bado unasoma tu, mana hata mimi nimekukuta unasoma lakini nimeshamalizaHahahaha
Vifo vile ambavyo huwa mgonjwa hana muda mrefu tangu aanze kuumwa na alikuwa na hali nzuri kiafya mostly within a week or below seven days vingi husadikiwa kuwa husababishwa na wachawi.Utajuaje kwamba uyu mtu kauliwa na wachawi
Kauli ya kishetani hii ndg.Mzee meko ilishindikana kumrudisha kwa style hii kwani?
Utaishi vp na jamii unadhani? Wew utaweza kukaa naye mkiachwa wawili peke yenu? Hata kama ni mzazi wako bado ni ngumu, mana unahisi anaweza kukupeleka kusikojulikanaHaha, kikubwa uhai mengine ni ziada
Hahahaha jamaa kamfunika Mshana JrMkuu bado unasoma tu, mana hata mimi nimekukuta unasoma lakini nimeshamaliza
Acha woga mkuu umeshapata mbinu ya kumnasua mtu wako wa karibu na umeelewa alikufa kichawi sasa wasiwasi wa nini kwamba jamii itakuchukuliaje labda Kama ulifurahia awe zombi.Utaishi vp na jamii unadhani? Wew utaweza kukaa naye mkiachwa wawili peke yenu? Hata kama ni mzazi wako bado ni ngumu, mana unahisi anaweza kukupeleka kusikojulikana
Ishu ipo hapo sasa, mmepagawa na maziko na gharama zake, then muanze kuhangaika na vyunguHuo muda mnautoa wapi na mshapagawa
Siyo rahisi hivyo mkuuAcha woga mkuu umeshapata mbinu ya kumnasua mtu wako wa karibu na umeelewa alikufa kichawi sasa wasiwasi wa nini kwamba jamii itakuchukuliaje labda Kama ulifurahia awe zombi.