Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
kuna wakati unakuta upo na mtu kwenye mahusiano ,ila unaona huyu mtu simtaki tena lakini yeye analazimisha hataki kukuacha,na wewe unataka kumuacha kwa amani bila kumuacha na makovu wal kinyogo
sasa hapa nawapeni tips/diet jinsi ya kumuacha mtu wa aina hiyo ndani ya siku kumi bila kuleta maafa upande wowote
ngojeni nime
sasa hapa nawapeni tips/diet jinsi ya kumuacha mtu wa aina hiyo ndani ya siku kumi bila kuleta maafa upande wowote
ngojeni nime