Jinsi ya kumpiga mke

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Sep 1, 2011
3,211
988
Wakuu, kwanza nieleze wazi kabla kuwa ni makosa kumpiga mkeo kwa kosa la namna yeyote ile ila kuna wakati hutokea bahati mbaya mme unajikuta umempiga mke kutokana na makosa au makwaruzano ya hapa na pale.

Leo nikiwa na masela maeneo fulani mara wakatokea jamaa wengine watatu na mmoja kati yao ni mzee au mzima wa miaka kati ya 50 na 55 hivi, walipofika tulipo sisi wakatusalimu na mara kijana mmoja kati ya wale wawili aliokuja nao huyu mzee akaanza kulalamika maisha ya ndoa yake yanamchanganya sana mpaka sasa ametokea nyumba ya kulala wageni leo siku ya tatu huku akimwacha mkewe na mwanane wa miaka mitatu. Tulipomhoji kulikoni, jamaa anadai mara kadhaa akirudi kwenye mihangaiko anakuta mtoto analalmika njaa akiuliza kwanini anaambiwa mama hajapika chakula pamoja na kuwa aliacha kodi ya mezani asubuhi kwa mke na mara kadhaa mtoto huyo huponea kupata chakula nyumbani kwa dada yake anayeishi karibu nao.

Kwa kifupi mke huyo yeye asubuhi akiamka mara nyingi hushinda kwa marafiki zake huko weeee bila kujali nyumbani kuna kufanya usafi, kupika na kadharika na kadharika.

Mimi nilimsihi amsamehe mke huyo kwani tumeambiwa tusamehe 7 x 70 au tusamehe muda wote, lakini jamaa hakuweza kunielewa kwa madai kuwa huyo mke angekuwa akifanya kosa akaonywa na yakaisha na asirudie kosa ingekuwa sitatizo ila tatizo ni kuwa kila mara hurudia makosa yale yale anayoonywa kila siku. Najuwa kuna wanawake wanakosawatu wa kuwaoa wakati wengine wanawapata na hawana habari nao kama huyu mdada kwenye hiki kisa.

Nilimgeukia yule mzee karibu yetu nikamuuliza vipi mzee juu huu ushauri ninaompa huyu rafiki juu ya kumsamehe tu mkewe?, nikaongeza maana huyu bwana kama atakuwa hana moyo wa kusamehe basi hata Mungu na yeye atakuwa dhambi zake. Mzee akajibu kuwa kwanza anamfahamu huyo kijana na kuongeza kuwa tatizo lake huwa hampigi mkewe!,nilishtuka kidogo kusikia ushauri wa namna hii kutoka kwa mzee yule, nikamjibu atampiga mara ngapi na je si atamuua tu?, hapo ndipo likaja somo la jinsi ya kumpiga mke.

Kabla nilikuwa nimemuuliza yule mzee kama bado anaishi mkewe/mama yetu/bibi yetu na alikuwa amejibu ndiyo bado wanaishi pamoja na akanijibu siyo kwamba walikuwa au huwa hawagombani la hasha, bali ndoa ni makubaliano na kamahakuna makubaliano basi matatizo lazima yatokee. Jamaa yetu mwenye mkasa ametueleza kwa muda wote wa miaka 5 hiitangu waoane na mwanamke huyo hajawahi kumpiga hata siku moja zaidi ya wakati mmoja tu na wala hakumbuki ilikuwani lini hasa alipompiga vibao/kofi viwili tu!

Kwahiyo mzee akaeleza mwanamke kuna wakati unaweza ukalazimika kumpiga ili pengine anaweza kuona ni namna gani umekelwa na kosa alilotenda na ungependa abadilike, lakini akalazimika kuelezea namna mwanamke anavyostahili kupigwa ili isije ikatokea ukaua kama nilivyohamaki kumjibu pale juu. Anasema unamlaza alalie mgongo kisha wewe unamkalia juu maeneo ya kifuani na tumboni na mikono yake unaipitisha chii kati ya mguu wako na ubavu wake kila upande, kisha kwa kutumia vidole vyako unamfinya unamfinya unamfinya vya kutosha kwenye mapaja ya miguu yake mpakauhakikishe anaanza kupata arama nyekundu hivi huku ukimwelewesha yale usiyoyapenda uone akifanya ili kudumishandoa yenu, na mwisho alisisitiza ukishamaliza zoezi hilo basi usiondoke mpaka umchape nao limoja hivi ndiyo ugomvi unakuwa umeishia hapo!.

Sasa kuhusu picha juu ya hili tukio mwenye kuweza ajaribu japo kuchora atuwekee hapa kwa manufaa ya wengi zaidi huku na mimi nikiendelea ku-google kama nitapata online iliyotayari.

Mwisho tumemshauri jamaa yetu kwa pamoja kuwa kwa sasa yeye aondoke hapo nyumbani aende sehemu nyingine mbali kidogo na alipo huyo mkewe na amwambie amepewa kibarua huko labda kwa mwezi mmoja au miwili hivyo anamuacha yeye hapo nyumbani na mtoto, akifika huko basi afanye yake na asimpe hela yeyote hata ya kula huyu mdada, mtoto atafutiwe sehemu pakula.

Haya jamani mimi kama kawaida kitu kizuri huwa sipendi kula peke yangu hivyo nimewapa na nyie wenzangu maujuzi haya ya jinsi ya kumpiga mke pale inapobidi usije ukampiga mangumi au vichwa.
 
duh hii ni hatari...ila kwa kifupi mwanaume lazima uwe na msimamo...njia ndo zinatofautiana...lakini hata ya klebu moja kali ni nzuri pia
 
Kumpiga mwanamke inamaanisha wewe mwanaume umeshindwa kutumia akili wala busara. Hakuna matatizo ambayo suluhisho yake ni vipigo, hata siku moja.
 
Kumpiga mwanamke inamaanisha wewe mwanaume umeshindwa kutumia akili wala busara. Hakuna matatizo ambayo suluhisho yake ni vipigo, hata siku moja.

Hapa mkuu nakupinga, Inagwa sipendi kumpiga mke wangu ila ikitokea akaniudhi nikamuonya zaidi na zaidi lazima spo siku atakula vibao! Kumpiga ni sehemu ya upendo pia unamuonyesha kuwa ni njisi gani unataka badilike hata kwa nguvu ila hauko tayari kumuacha! NB. Usije ukatembeze ngumi na mateke kwa visingizio vya upendo!

Kwa kifupi mwanamke ni kama mtoto, unamuelekza wee, unarudiaaaa, ila ukiona haelekei unamchapa vibao halafu unampa pipi taaaamu, anasahau kuwa ulimchapa mnaendelea vizuuuri halafu baadaae akitaka rudia lile kosa anakumbuka kichapo anaacha.

Hujasikia, Kuna wanawake wanaanzisha zogo ili aone utachukua hatua gani? So Kichapo kwanza halafu inapigwa mechi ya nguvu ataikumbuka hata miezi!
 
Hapa mkuu nakupinga, Inagwa sipendi kumpiga mke wangu ila ikitokea akaniudhi nikamuonya zaidi na zaidi lazima spo siku atakula vibao! Kumpiga ni sehemu ya upendo pia unamuonyesha kuwa ni njisi gani unataka badilike hata kwa nguvu ila hauko tayari kumuacha! NB. Usije ukatembeze ngumi na mateke kwa visingizio vya upendo!

Kwa kifupi mwanamke ni kama mtoto, unamuelekza wee, unarudiaaaa, ila ukiona haelekei unamchapa vibao halafu unampa pipi taaaamu, anasahau kuwa ulimchapa mnaendelea vizuuuri halafu baadaae akitaka rudia lile kosa anakumbuka kichapo anaacha.

Hujasikia, Kuna wanawake wanaanzisha zogo ili aone utachukua hatua gani? So Kichapo kwanza halafu inapigwa mechi ya nguvu ataikumbuka hata miezi!

Mkuu umeniacha hoi.
 
Hapa mkuu nakupinga, Inagwa sipendi kumpiga mke wangu ila ikitokea akaniudhi nikamuonya zaidi na zaidi lazima spo siku atakula vibao! Kumpiga ni sehemu ya upendo pia unamuonyesha kuwa ni njisi gani unataka badilike hata kwa nguvu ila hauko tayari kumuacha! NB. Usije ukatembeze ngumi na mateke kwa visingizio vya upendo!

Kwa kifupi mwanamke ni kama mtoto, unamuelekza wee, unarudiaaaa, ila ukiona haelekei unamchapa vibao halafu unampa pipi taaaamu, anasahau kuwa ulimchapa mnaendelea vizuuuri halafu baadaae akitaka rudia lile kosa anakumbuka kichapo anaacha.

Hujasikia, Kuna wanawake wanaanzisha zogo ili aone utachukua hatua gani? So Kichapo kwanza halafu inapigwa mechi ya nguvu ataikumbuka hata miezi!


Naomba ututake radhi sisi sio kama watoto tafadhali, unataka kutuambia nini na sisi ndio walezi wakuu wa familia kwa hiyo unataka kusema tumelelewa na watoto na sio kina mama wenye akili timamu. then kama ni hivyo viumbe vyote vina akili za kitoto maana vimezaliwa na kulelewa na wamama wenye akili za kitoto.

ni wasio na akili pekee ndio huwa wanapiga wanawake! hata kwenye vitabu vitakatifu vinasema muishi nao kwa akili sasa hizo akili naona wengi ndio wanazihitaji!! bibi yangu alituambia ukipigwa na mwanaume mmoja umetaka mwenyewe otherwise kuna njia simple tu za kumpiga mwanaume na hatakaa arudie tena kukupiga. shida ni pale unapopigwa unajiliza na hutake action kesho utapigwa tena.
nitatoa mfano wa rafiki yangu alipigwa for the first time na mme wake baada ya miaka miwili ya ndoa anasema baada ya kupigwa kibao alikamata huo mkono aliungata akatoka na nyama baba wa watu akaishia hopsitali mpk leo ni ana alama ila ndio ulikuwa mwanzo na mwisho wake wa kumpiga mkewe.
 
mwanamke hupigwa kwa kushtukizwa, si kwa kufanya maandalizi. Binafsi my mama watoto anaweza nikosea kosa kubwa nikamute, ila kakosa kadogo akapokea mabanzi ya ghafla na maelezo mengi kuhusu mwenendo wake. Kwa kufanya hivyo mwenzio atakuwa makini kwa kila jambo kwani hatajua ni wakakati upi anaweza bamizwa.
 
Naomba ututake radhi sisi sio kama watoto tafadhali, unataka kutuambia nini na sisi ndio walezi wakuu wa familia kwa hiyo unataka kusema tumelelewa na watoto na sio kina mama wenye akili timamu. then kama ni hivyo viumbe vyote vina akili za kitoto maana vimezaliwa na kulelewa na wamama wenye akili za kitoto.

ni wasio na akili pekee ndio huwa wanapiga wanawake! hata kwenye vitabu vitakatifu vinasema muishi nao kwa akili sasa hizo akili naona wengi ndio wanazihitaji!! bibi yangu alituambia ukipigwa na mwanaume mmoja umetaka mwenyewe otherwise kuna njia simple tu za kumpiga mwanaume na hatakaa arudie tena kukupiga. shida ni pale unapopigwa unajiliza na hutake action kesho utapigwa tena.
nitatoa mfano wa rafiki yangu alipigwa for the first time na mme wake baada ya miaka miwili ya ndoa anasema baada ya kupigwa kibao alikamata huo mkono aliungata akatoka na nyama baba wa watu akaishia hopsitali mpk leo ni ana alama ila ndio ulikuwa mwanzo na mwisho wake wa kumpiga mkewe.

Sikusema kama mtoto kwa bahati mbaya!
Namaanisha wakati unamuelekeza mtoto unatakiwa uanze kutumia busara ya hali ya juu kabisa kwanza unajishusha, unamuelekeza kama wote mna akili sana huku ukimtania, kama hajakuelewa, unakuwa ni mkubwa kwake unamuelekeza kwa maelekezo y kiutu uzima, bado hajakuelewa unamuelekeza na kumkaripia kuonyesha umechukia na hiyo tabia yake ya kufanya jambo hilo hulipendi!

Sasa unataka umuelekeze vipi kama hajakuelewa inabidi uchukue fimbo umchape hii ni kumuonyesha kwamba mko katika level tofauti. ila ukitaka asikuogope lazima ujenge ukaribu nae hata kama utampiga ni unampiga kwa sababu haelewi so unamtafutia vipipi na visoda! mnakuwa marafiki so anaelewa wewe ni rafiki yake ila anapokosea lazima akanywe na inapobidi fimbo achapwe! wataka upendo gani zaidi ya huo!

NB. Kwa mwanamke msikivu huwezi kumpiga manake kuna level nyingi za yeye kukuelewa kabla hujafika hatua ya mwisho! ila kama ilivo vidole havinani pia binaadamu hawafanani wako wengine bila kichapo hawasikiii

NOTE nikikupiga ukarudisha, nitakusamehe mara ya kwanza, maybe mara ya pili ila kama itakuwa tabia yako kila nikikuchapa unarudisha eidha nitakuach urudi kwenu la sivo ipo siku nitakutegua kiuno! Ni mwiko kwetu mwanamke kumpiga mumewe (Ofcourse tunazungumzia wanawake/wanaume wastaarabu) Sio ukajasema umeeambiwa JF umpige mkeo ukaja mtengua kiuno kwa kosa la kwanza tu
 
nahisi siku mume wangu akinipiga nitamwangalia kwanza usoni kuangalia kama kuna dalili ataendelea au anajutia kunipiga, nikiona anampango wa kuendelea.....nitajua ipo siku atarudia tena
 
Sikusema kama mtoto kwa bahati mbaya!
Namaanisha wakati unamuelekeza mtoto unatakiwa uanze kutumia busara ya hali ya juu kabisa kwanza unajishusha, unamuelekeza kama wote mna akili sana huku ukimtania, kama hajakuelewa, unakuwa ni mkubwa kwake unamuelekeza kwa maelekezo y kiutu uzima, bado hajakuelewa unamuelekeza na kumkaripia kuonyesha umechukia na hiyo tabia yake ya kufanya jambo hilo hulipendi!

Thank you my brother kwa ufanunuzi.

Sasa unataka umuelekeze vipi kama hajakuelewa inabidi uchukue fimbo umchape hii ni kumuonyesha kwamba mko katika level tofauti. ila ukitaka asikuogope lazima ujenge ukaribu nae hata kama utampiga ni unampiga kwa sababu haelewi so unamtafutia vipipi na visoda! mnakuwa marafiki so anaelewa wewe ni rafiki yake ila anapokosea lazima akanywe na inapobidi fimbo achapwe! wataka upendo gani zaidi ya huo!

NB. Kwa mwanamke msikivu huwezi kumpiga manake kuna level nyingi za yeye kukuelewa kabla hujafika hatua ya mwisho! ila kama ilivo vidole havinani pia binaadamu hawafanani wako wengine bila kichapo hawasikiii

NOTE nikikupiga ukarudisha, nitakusamehe mara ya kwanza, maybe mara ya pili ila kama itakuwa tabia yako kila nikikuchapa unarudisha eidha nitakuach urudi kwenu la sivo ipo siku nitakutegua kiuno! Ni mwiko kwetu mwanamke kumpiga mumewe (Ofcourse tunazungumzia wanawake/wanaume wastaarabu) Sio ukajasema umeeambiwa JF umpige mkeo ukaja mtengua kiuno kwa kosa la kwanza tu

Thank you my brother kwa ufafanuzi
 
na nyie wanaume mnapopinda na kuelekezwa huku hambadiliki tuwape kipigo pia? au nyie ndio MALAIKA huwa hamkoseagi?maana naona tunasakamwa sie tu kuwa ndio wakosaji olweis!kha!acheni hizo bwana!
 
Sikusema kama mtoto kwa bahati mbaya!
Namaanisha wakati unamuelekeza mtoto unatakiwa uanze kutumia busara ya hali ya juu kabisa kwanza unajishusha, unamuelekeza kama wote mna akili sana huku ukimtania, kama hajakuelewa, unakuwa ni mkubwa kwake unamuelekeza kwa maelekezo y kiutu uzima, bado hajakuelewa unamuelekeza na kumkaripia kuonyesha umechukia na hiyo tabia yake ya kufanya jambo hilo hulipendi!

Sasa unataka umuelekeze vipi kama hajakuelewa inabidi uchukue fimbo umchape hii ni kumuonyesha kwamba mko katika level tofauti. ila ukitaka asikuogope lazima ujenge ukaribu nae hata kama utampiga ni unampiga kwa sababu haelewi so unamtafutia vipipi na visoda! mnakuwa marafiki so anaelewa wewe ni rafiki yake ila anapokosea lazima akanywe na inapobidi fimbo achapwe! wataka upendo gani zaidi ya huo!

NB. Kwa mwanamke msikivu huwezi kumpiga manake kuna level nyingi za yeye kukuelewa kabla hujafika hatua ya mwisho! ila kama ilivo vidole havinani pia binaadamu hawafanani wako wengine bila kichapo hawasikiii

NOTE nikikupiga ukarudisha, nitakusamehe mara ya kwanza, maybe mara ya pili ila kama itakuwa tabia yako kila nikikuchapa unarudisha eidha nitakuach urudi kwenu la sivo ipo siku nitakutegua kiuno! Ni mwiko kwetu mwanamke kumpiga mumewe (Ofcourse tunazungumzia wanawake/wanaume wastaarabu) Sio ukajasema umeeambiwa JF umpige mkeo ukaja mtengua kiuno kwa kosa la kwanza tu

Mkuu tutakuwa tunatoka kijiji kimoja.
 
naona hapa mnazungumzia mke na mume tu, je kwa wale wenye girlfriend nao wanaruhusiwa kuwapiga au ndio mpaka wawaoe
 
Back
Top Bottom