Jinsi ya kumpata mwanamke bila kumtongoza

Haikuwa kazi rahisi kumshawishi Mwalimu Makoba kuweka makala hii katika blogu yake. Alipomaliza kuisoma katika kompyuta yangu, alicheka kisha akasema, "makala yako itaniharibia wanafunzi wangu!" Sikusita, nilijibu kwa hoja madhubuti, "mwalimu, niliyoyaandika humu yanalenga zaidi kumkomboa msichana, kwani akizisoma mbinu zilizoandikwa humu, hawezi kunasa katika mtego. Kunyamaza kimya, ni kuwafanya wazidi kutekwa na mbinu hizi!"

Mwalimu wa Walimu alinitazama kwa udadisi, kisha akasema, "ITAPANDISHWA!"

Sasa tiririka nayo:

Maisha ni ujanja tu mzee mwenzangu. Sasa leo ngoja nikupatie ujuzi kidogo ambao nimeupata mbali sana. Mbali sana mhenga mwenzangu, ng’ambo huko. Unaweza ukampata bila kutia neno! Kimya - kimya.
HATUA YA KWANZA

Njia hii inafanya kazi katika mawasiliano ya simu. Hususani ‘kuchat’… tena ukitumia WhatsApp ndiyo utaua kabisa mwananzengo! Sasa ukiwa na namba yake, kama ni namba mpya na bado hamjafahamiana, hakikisha mnafahamiana vya kutosha, yaani mnazoeana na kuwa marafiki.
HATUA YA PILI

Sasa mmezoeana. Anza kazi yako rasmi. Kila unapokuwa unachat naye, tumia zile ‘emoj’ za mahaba, yaani zile zenye makopakopa! Wakati wa kuanzisha ‘chat’ tumia, mkiendelea na ‘chat’ tumia na wakati wa kufunga ‘chat’ itumie.
Mfano. “Mambo vipi? Missing u kwa sana
Ajabu ni kwamba hata yeye ataanza kutumia emoj hizo. Ukiona hivyo mwanakwetu jua mambo yameiva, piga hatua ya tatu.
HATUA YA TATU

Anza kumuita majina ya mahaba. Yako mengi sana, anza na ‘my dear’, ‘honnie’, ‘my sweetie’, na mengine mengi kadiri ya uwezo wako. Tazama mfano huu uone inavyotakiwa kuwa: wakati unafanya haya, tambua kiingereza hakiepukiki katika mahaba.
“Hi baby! Unafanya nini now?
“Owkey, my honnie, tutachat kesho… nalala .”
Ni kama uchawi vile. Kwa sababu ni lazima na yeye ataanza kukujibu kwa majina hayo. Unaona kazi ilivyo nyepesi?
HATUA YA NNE
Jimilikishe taratibu. Tayari unatumia emoj za mahaba na yeye anatumia, unamuita majina ya kimapenzi na yeye anakuita hivyo, unasubiri nini? Hebu anza uchokozi huu:
“WEWE: sweetie huwezi amini leo kidogo nichepuke… ila nikaogopa nikajua ukinikamata sitapona!”
Jibu lake hata kama litakuwa tofauti, ni lazima liwe na mahusiano na hili:
“YEYE: Ole wako nikukamate, nina wivu mimi … mwambie huyo dada akome!”
Sasa mwanakwetu mambo yakifika hapa unasubiri nini tena? Haya twende hatua nyingine.
HATUA YA TANO

Mtoe ‘out’. Wakati mnaendelea kuchat, anza kuomba kumtoa ‘out’ ili mkasafishe macho kidogo. Tazama namna nzuri ya kufanya jambo hili.
“Hi my everything ? Wikend hii una ratiba gani?” ninaimani swali litajibiwa vyema. Ongezea.
“Oooh… kuna laki mbili zinaniwasha, nikaona nikizitumia peke yangu nitakuwa sijakutendea haki we rafiki yangu wa muda wote… can we go out this weekend tukaburudike pamoja ?”
Katika mtego huo hawezi kuchomoa. Unataka nikuelekeze cha kufanya ukiwa huko out?

Mkitoka, sehemu nzuri zaidi kwenda ni ‘night club’. Kama ni mnywaji wa pombe, kazi itakuwa nyepesi. Kama hatumii, mbembeleze anuse japo kidogo. Akikataa usimlazimishe, kufanya hivyo kutamfanya arejee nyumbani na kukuacha ukizubaa.
Cheza naye mziki taratibu. Wakati mkiendelea na masaa yakiwa yamekatika mweleze sikioni taratibu, “My dear, nadhani, kuna chumba hapo mbele kina kiyoyozi siyo cha nchi hii, twende tukapumzike mama watoto wangu.”
Chukua bajaji nenda kapumzike na mtoto uliyempata bila kumtongoza! Kesho njoo unishukuru kwa somo hili adimu.
Natoa angalizo kuwa, somo hili lisitumiwe kwa lengo la uzinzi. Madhara ya uzinzi yanafahamika na hakuna faida yoyote kufanya hivyo. MBINU HIYO ITUMIKE KUMPATA MTU UNAYETAKA AWE MKEO!

Ni hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa kufikiria mambo ya maana Zaidi kuliko huu upuuzi.
 
Mkuu mbona hiyo hesabu yako ina njia ndefu sanaa? Ishort pesa ndo kila kitu unatongoza leo unajula leo mnaacha leo,,, hatutaki usumbufu bhanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haikuwa kazi rahisi kumshawishi Mwalimu Makoba kuweka makala hii katika blogu yake. Alipomaliza kuisoma katika kompyuta yangu, alicheka kisha akasema, "makala yako itaniharibia wanafunzi wangu!" Sikusita, nilijibu kwa hoja madhubuti, "mwalimu, niliyoyaandika humu yanalenga zaidi kumkomboa msichana, kwani akizisoma mbinu zilizoandikwa humu, hawezi kunasa katika mtego. Kunyamaza kimya, ni kuwafanya wazidi kutekwa na mbinu hizi!"

Mwalimu wa Walimu alinitazama kwa udadisi, kisha akasema, "ITAPANDISHWA!"

Sasa tiririka nayo:

Maisha ni ujanja tu mzee mwenzangu. Sasa leo ngoja nikupatie ujuzi kidogo ambao nimeupata mbali sana. Mbali sana mhenga mwenzangu, ng’ambo huko. Unaweza ukampata bila kutia neno! Kimya - kimya.
HATUA YA KWANZA

Njia hii inafanya kazi katika mawasiliano ya simu. Hususani ‘kuchat’… tena ukitumia WhatsApp ndiyo utaua kabisa mwananzengo! Sasa ukiwa na namba yake, kama ni namba mpya na bado hamjafahamiana, hakikisha mnafahamiana vya kutosha, yaani mnazoeana na kuwa marafiki.
HATUA YA PILI

Sasa mmezoeana. Anza kazi yako rasmi. Kila unapokuwa unachat naye, tumia zile ‘emoj’ za mahaba, yaani zile zenye makopakopa! Wakati wa kuanzisha ‘chat’ tumia, mkiendelea na ‘chat’ tumia na wakati wa kufunga ‘chat’ itumie.
Mfano. “Mambo vipi? Missing u kwa sana
Ajabu ni kwamba hata yeye ataanza kutumia emoj hizo. Ukiona hivyo mwanakwetu jua mambo yameiva, piga hatua ya tatu.
HATUA YA TATU

Anza kumuita majina ya mahaba. Yako mengi sana, anza na ‘my dear’, ‘honnie’, ‘my sweetie’, na mengine mengi kadiri ya uwezo wako. Tazama mfano huu uone inavyotakiwa kuwa: wakati unafanya haya, tambua kiingereza hakiepukiki katika mahaba.
“Hi baby! Unafanya nini now?
“Owkey, my honnie, tutachat kesho… nalala .”
Ni kama uchawi vile. Kwa sababu ni lazima na yeye ataanza kukujibu kwa majina hayo. Unaona kazi ilivyo nyepesi?
HATUA YA NNE
Jimilikishe taratibu. Tayari unatumia emoj za mahaba na yeye anatumia, unamuita majina ya kimapenzi na yeye anakuita hivyo, unasubiri nini? Hebu anza uchokozi huu:
“WEWE: sweetie huwezi amini leo kidogo nichepuke… ila nikaogopa nikajua ukinikamata sitapona!”
Jibu lake hata kama litakuwa tofauti, ni lazima liwe na mahusiano na hili:
“YEYE: Ole wako nikukamate, nina wivu mimi … mwambie huyo dada akome!”
Sasa mwanakwetu mambo yakifika hapa unasubiri nini tena? Haya twende hatua nyingine.
HATUA YA TANO

Mtoe ‘out’. Wakati mnaendelea kuchat, anza kuomba kumtoa ‘out’ ili mkasafishe macho kidogo. Tazama namna nzuri ya kufanya jambo hili.
“Hi my everything ? Wikend hii una ratiba gani?” ninaimani swali litajibiwa vyema. Ongezea.
“Oooh… kuna laki mbili zinaniwasha, nikaona nikizitumia peke yangu nitakuwa sijakutendea haki we rafiki yangu wa muda wote… can we go out this weekend tukaburudike pamoja ?”
Katika mtego huo hawezi kuchomoa. Unataka nikuelekeze cha kufanya ukiwa huko out?

Mkitoka, sehemu nzuri zaidi kwenda ni ‘night club’. Kama ni mnywaji wa pombe, kazi itakuwa nyepesi. Kama hatumii, mbembeleze anuse japo kidogo. Akikataa usimlazimishe, kufanya hivyo kutamfanya arejee nyumbani na kukuacha ukizubaa.
Cheza naye mziki taratibu. Wakati mkiendelea na masaa yakiwa yamekatika mweleze sikioni taratibu, “My dear, nadhani, kuna chumba hapo mbele kina kiyoyozi siyo cha nchi hii, twende tukapumzike mama watoto wangu.”
Chukua bajaji nenda kapumzike na mtoto uliyempata bila kumtongoza! Kesho njoo unishukuru kwa somo hili adimu.
Natoa angalizo kuwa, somo hili lisitumiwe kwa lengo la uzinzi. Madhara ya uzinzi yanafahamika na hakuna faida yoyote kufanya hivyo. MBINU HIYO ITUMIKE KUMPATA MTU UNAYETAKA AWE MKEO!

Ni hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni nzuri kwa Malaya, vp kwa wale wazee wa wanafunzi wanafanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣 nimeishia kwenye hapo kwenye nna kiji laki mbili, kichumba chenye kiyoyozi na kuchukua bajaji...
Ee na kucheza mziki taratibu.. hivi buluz ipo night club?
Kha huo mtego unaaply kwa vijisichana na sio wanawake
 
Hizo hatua zinatumika ukiwa sengerema tu, pengine hazifanyi kazi.
 
Write your reply...
Kama hauna hela kwanza utakosa hata hela ya bundle,pili utakosa hela ya kumtoa out
Chamsingi uwe na hela tu atakuja mwenyewe
 
Haikuwa kazi rahisi kumshawishi Mwalimu Makoba kuweka makala hii katika blogu yake. Alipomaliza kuisoma katika kompyuta yangu, alicheka kisha akasema, "makala yako itaniharibia wanafunzi wangu!" Sikusita, nilijibu kwa hoja madhubuti, "mwalimu, niliyoyaandika humu yanalenga zaidi kumkomboa msichana, kwani akizisoma mbinu zilizoandikwa humu, hawezi kunasa katika mtego. Kunyamaza kimya, ni kuwafanya wazidi kutekwa na mbinu hizi!"

Mwalimu wa Walimu alinitazama kwa udadisi, kisha akasema, "ITAPANDISHWA!"

Sasa tiririka nayo:

Maisha ni ujanja tu mzee mwenzangu. Sasa leo ngoja nikupatie ujuzi kidogo ambao nimeupata mbali sana. Mbali sana mhenga mwenzangu, ng’ambo huko. Unaweza ukampata bila kutia neno! Kimya - kimya.
HATUA YA KWANZA

Njia hii inafanya kazi katika mawasiliano ya simu. Hususani ‘kuchat’… tena ukitumia WhatsApp ndiyo utaua kabisa mwananzengo! Sasa ukiwa na namba yake, kama ni namba mpya na bado hamjafahamiana, hakikisha mnafahamiana vya kutosha, yaani mnazoeana na kuwa marafiki.
HATUA YA PILI

Sasa mmezoeana. Anza kazi yako rasmi. Kila unapokuwa unachat naye, tumia zile ‘emoj’ za mahaba, yaani zile zenye makopakopa! Wakati wa kuanzisha ‘chat’ tumia, mkiendelea na ‘chat’ tumia na wakati wa kufunga ‘chat’ itumie.
Mfano. “Mambo vipi? Missing u kwa sana
Ajabu ni kwamba hata yeye ataanza kutumia emoj hizo. Ukiona hivyo mwanakwetu jua mambo yameiva, piga hatua ya tatu.
HATUA YA TATU

Anza kumuita majina ya mahaba. Yako mengi sana, anza na ‘my dear’, ‘honnie’, ‘my sweetie’, na mengine mengi kadiri ya uwezo wako. Tazama mfano huu uone inavyotakiwa kuwa: wakati unafanya haya, tambua kiingereza hakiepukiki katika mahaba.
“Hi baby! Unafanya nini now?
“Owkey, my honnie, tutachat kesho… nalala .”
Ni kama uchawi vile. Kwa sababu ni lazima na yeye ataanza kukujibu kwa majina hayo. Unaona kazi ilivyo nyepesi?
HATUA YA NNE
Jimilikishe taratibu. Tayari unatumia emoj za mahaba na yeye anatumia, unamuita majina ya kimapenzi na yeye anakuita hivyo, unasubiri nini? Hebu anza uchokozi huu:
“WEWE: sweetie huwezi amini leo kidogo nichepuke… ila nikaogopa nikajua ukinikamata sitapona!”
Jibu lake hata kama litakuwa tofauti, ni lazima liwe na mahusiano na hili:
“YEYE: Ole wako nikukamate, nina wivu mimi … mwambie huyo dada akome!”
Sasa mwanakwetu mambo yakifika hapa unasubiri nini tena? Haya twende hatua nyingine.
HATUA YA TANO

Mtoe ‘out’. Wakati mnaendelea kuchat, anza kuomba kumtoa ‘out’ ili mkasafishe macho kidogo. Tazama namna nzuri ya kufanya jambo hili.
“Hi my everything ? Wikend hii una ratiba gani?” ninaimani swali litajibiwa vyema. Ongezea.
“Oooh… kuna laki mbili zinaniwasha, nikaona nikizitumia peke yangu nitakuwa sijakutendea haki we rafiki yangu wa muda wote… can we go out this weekend tukaburudike pamoja ?”
Katika mtego huo hawezi kuchomoa. Unataka nikuelekeze cha kufanya ukiwa huko out?

Mkitoka, sehemu nzuri zaidi kwenda ni ‘night club’. Kama ni mnywaji wa pombe, kazi itakuwa nyepesi. Kama hatumii, mbembeleze anuse japo kidogo. Akikataa usimlazimishe, kufanya hivyo kutamfanya arejee nyumbani na kukuacha ukizubaa.
Cheza naye mziki taratibu. Wakati mkiendelea na masaa yakiwa yamekatika mweleze sikioni taratibu, “My dear, nadhani, kuna chumba hapo mbele kina kiyoyozi siyo cha nchi hii, twende tukapumzike mama watoto wangu.”
Chukua bajaji nenda kapumzike na mtoto uliyempata bila kumtongoza! Kesho njoo unishukuru kwa somo hili adimu.
Natoa angalizo kuwa, somo hili lisitumiwe kwa lengo la uzinzi. Madhara ya uzinzi yanafahamika na hakuna faida yoyote kufanya hivyo. MBINU HIYO ITUMIKE KUMPATA MTU UNAYETAKA AWE MKEO!

Ni hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hapo naona kama umetongoza saana tena kwa muda mreeefu. Ukitolewa nje utajutia muda wako
 
Hakunaga kitu nilichonyimwa kama kulea mapenzi kwa simu mpaka demu anielewe,mi natongoza uso kwa uso usiponielewa basi
 
Back
Top Bottom