Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,023
- 18,563
- Thread starter
- #41
Kwenye bei ya mafuta Mkuu. Samia kaongeza shs 100 kwa ajili ya fedha za kujenga barabara vijijiniKodi imeongezwa mia ? na Wapi ?
Tunaongelea Kodi ya Miamala hapa imeongezwa kiasi kwamba watu kuacha kutumia huduma ya miamala sababu option nyingine ni cheaper zaidi)