Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,298
hahha kumearibika siyo?Hawezi kukubali anajua utamgundua na hawezi kwenda kwenye mihadi wakati down kumesha harabika!!!....lol!
nan kakudanganya kaka?
km mtu yupo fit ni kwamba mwanamke anatoka chumba 3 kufanya mambo anaenda kuoga then anaenda rum namba 4 na game km kawa evethng vipo ok HAKUNA CHANGES WALA NINI....sasa sembuse ao kuna safar kdg ata muda wa kupumzika upo?
.......+uyo mwz asi anajua demu kaolewa so ata akiikuta vp awez kuuliza cz mwenye mali katumia....so watafanya mengneyo ya kuwapa furaha n HALI YA HEWA YA UKO DWN aitakuwa kikwazo kwao kutoenjoy...