Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Tena ukitaka kumkomesha zaidi akija kukuaga kitandani mwambie dear hata mimi nilitaka kwenda hiyo sehemu basi tutaenda wote. Ukimaliza nilitaka kwenda kumtembelea ndg yeyote mtaje walaah ataahirisha na kuanza kusema kuwa kama tunaenda na wewe basi mimi siendi au akagaili kabisa ukiona hivyo jua alitaka akamegwe!
Hivi kutoka ni lazima akamegwe?
Kama ana miradi ambayo hahitaji mzee ajue! Anaenda kujua mapato yanaendeleaje bana!
Si wote huaga ili wakatafunwe!.