KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,542
- 8,535
Mkeo ukiona anaomba ruhusa yakutoka 2week be for ujue kunakitu sichakawaida!!jifanye kama ujali maana kilasiku atakuwa anakukumbushia hasa siku zikiwa zimekaribia akikumbishia mwambie sawa darling nimeisha kuelewa hiyo siku yeye anayotaka kutoka shinda nyumbani siku hiyo atafanya shughuli zake mapema saa tano ameisha maliza kajipodoa pafyum yake kajipulizia wewe nenda chumbani jilaze lazima akuage sasa jifanye unatoka katika usingizi kabla ajaondoka muite preta njoo akija mwambie nataka game!!atakukatalia kwanguvu zote nawewe usilegeze msimamo akija do one goal!!mwambie haya sasa unaweza kwenda utaona kanyong'onyea mara aseme sijui nisiende??akienda hatakaa mda mwingi atarudi sasa jiulize maandali ya week 2 yalikuwa ya nini??jua kulikuwa na jambo hiyo ndiyo dawa!!Happy new year.