Jinsi ya kukopa bank wa biashara ya usafirishaji.

Chiwaso

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
5,726
3,741
Habari wana JF,
Naomba nikili kuwa hali yangu kiuchumi sio nzuri, na hasa baada ya kuingia white house huyu mzee wa Geita. Naona mambo kama vile yamefungwa kwa makufuli yasiyofunguka.

Kwa kawaida mimi huwa ni mfanyabishara wa biashara ya kuagiza kutoka nje ya Nchi. Kutokana na kila sehemu ya kuingizia mizigo kuwa hazieleweki, nafikiria kubadili biashara kwa kujiingiza kwenye bishara ya usafirishaji, hasa kwa kutumia magari makubwa(Truck/Lorry/Tandam au hata Vipisi).
Tatizo ni kuwa sina Cash, ila naviji assets kama vile nyumba(Zenye Hati na zisizo na Hati), wake.

Ninahitaji Bank waniwezeshe, naombeni mawazo ya jinsi ya kuanza kuchakalikia huo mkopo.
 
Ni NGUMU kupewa mkopo benki sababu mkopo wa benki mara nyingi kama sio zote huwa ni kwa ajili ya kuendeleza biashara. Wao kukukopesha wewe ni kujiingiza kwenye "Risk" kubwa.

Tafuta jinsi uianze hiyo biashara hata kwa kuuza "nyumba yako". Biashara ikisimama watafute benki.

NB: Benki si rafiki wa watu maskini.
 
Umeshazijua changamoto za usafirishaji mkuu.
Muhimu kujua zamana za mzigo ziko kwako kama afisa usafirishaji inakoma pale tu mzigo unapomfikia muhusika.
Lkn unaweza kuanza kwa kutumia Lori za kukodi ukapakia mizigo ya wafanya biashara wa kati japo ni kazi kidogo maana itakubidi ukusanye mizigo mpaka ijae lori
 
Ni NGUMU kupewa mkopo benki sababu mkopo wa benki mara nyingi kama sio zote huwa ni kwa ajili ya kuendeleza biashara. Wao kukukopesha wewe ni kujiingiza kwenye "Risk" kubwa.

Tafuta jinsi uianze hiyo biashara hata kwa kuuza "nyumba yako". Biashara ikisimama watafute benki.

NB: Benki si rafiki wa watu maskini.
Thanks for advice.
NAomba kujua bei ya HOWO horse na trailer inagharimu kiasi gani ili niweze kupanga bei ya nyumba yangu.
 
Umeshazijua changamoto za usafirishaji mkuu.
Muhimu kujua zamana za mzigo ziko kwako kama afisa usafirishaji inakoma pale tu mzigo unapomfikia muhusika.
Lkn unaweza kuanza kwa kutumia Lori za kukodi ukapakia mizigo ya wafanya biashara wa kati japo ni kazi kidogo maana itakubidi ukusanye mizigo mpaka ijae lori
Nashukuru Muzee ''JembePoli''.
Ila ninavyofikiria ni rahisi kuwa dalali kama utakuwa na gari lako, kuliko kuwa dalali kwa kuwa huku ukiwa huna gari.
Shukran.
NAomba kujua bei ya HOWO horse na trailer inagharimu kiasi gani ili niweze kupanga bei ya nyumba yangu.
 
Kipindi hiki usafirishaji kwa mwenye lori moja ni mgumu kama huna contract ya uhakika....kuuza nyumba kwa ajili ya usafirishaji ni risk kubwa kipindi hiiya awamu ya tano.
 
Nashukuru Muzee ''JembePoli''.
Ila ninavyofikiria ni rahisi kuwa dalali kama utakuwa na gari lako, kuliko kuwa dalali kwa kuwa huku ukiwa huna gari.
Shukran.
NAomba kujua bei ya HOWO horse na trailer inagharimu kiasi gani ili niweze kupanga bei ya nyumba yangu.

Na kwanin usisafirishe mafuta kitu ambacho ni gurantee? Dry goods, containers au loose cargo zimepungua sana bongo. Utakufa kwa presha.
 
Karibu mdau. Naona unataka pita njia yangu. Karibu. Mi nina transport business ambapo fleet yote ni scanias. Semis na short chasis aka vipisi. Nilinunua used za nje nikajenga bodi nikafanya biashara. Mtaji wa ndani na mikopo. Nilianza na fuso nikahamia scanias kwa sababu ya matengenezo. Magari yasio na ajent na spea usiguse. Biashara ya usafirishaji ni dereva. Usipokuwa na utaratibu mzuri watavunjavunja magari dakika. Maswali zaidi pm.
 
Ni NGUMU kupewa mkopo benki sababu mkopo wa benki mara nyingi kama sio zote huwa ni kwa ajili ya kuendeleza biashara. Wao kukukopesha wewe ni kujiingiza kwenye "Risk" kubwa.

Tafuta jinsi uianze hiyo biashara hata kwa kuuza "nyumba yako". Biashara ikisimama watafute benki.

NB: Benki si rafiki wa watu maskini.
Huo ndio ukweli.
 
Karibu mdau. Naona unataka pita njia yangu. Karibu. Mi nina transport business ambapo fleet yote ni scanias. Semis na short chasis aka vipisi. Nilinunua used za nje nikajenga bodi nikafanya biashara. Mtaji wa ndani na mikopo. Nilianza na fuso nikahamia scanias kwa sababu ya matengenezo. Magari yasio na ajent na spea usiguse. Biashara ya usafirishaji ni dereva. Usipokuwa na utaratibu mzuri watavunjavunja magari dakika. Maswali zaidi pm.
Transporter yoyote huko, Tanzania ni mtu ambaye yuko miserable muda wote,sijawahi kumuona transporter Tz hana furaha,yeye huwa anafurahi mara mbili tu,kipindi ananunua gari ma kipindi anauza gari
 
Karibu mdau. Naona unataka pita njia yangu. Karibu. Mi nina transport business ambapo fleet yote ni scanias. Semis na short chasis aka vipisi. Nilinunua used za nje nikajenga bodi nikafanya biashara. Mtaji wa ndani na mikopo. Nilianza na fuso nikahamia scanias kwa sababu ya matengenezo. Magari yasio na ajent na spea usiguse. Biashara ya usafirishaji ni dereva. Usipokuwa na utaratibu mzuri watavunjavunja magari dakika. Maswali zaidi pm.
Shukran kwa kumtia moyo pia ushauri mzuri, ikiwezekana tunaweza wasiliana kwa kubadilishana Ideas na njinsi ya kupambana na changamoto za transport sector
 
Transporter yoyote huko, Tanzania ni mtu ambaye yuko miserable muda wote,sijawahi kumuona transporter Tz hana furaha,yeye huwa anafurahi mara mbili tu,kipindi ananunua gari ma kipindi anauza gari
Nimecheka kwa sauti saaaana, niliingia kwenye hii biashara, nikaifanya na ikaninyoosha.

I had two semi trailers, nimeuza zote. Nimeona bora nijenge.

Nimechemka
 
Back
Top Bottom