usijali tuko pamoja
mkuu we ni wa udom?
usijali tuko pamoja
Ndio mkuu
poa mkuu 2takutana udom mi ni wa telecom
Xpéndablè;4671907 said:Niaje (kaka)Ze dudu, Naomba nisaidie hapa mimi nimepata 3299500 na ada ni 700000 then nina field.. Je nina% kama ngapi hapo? Plz msaada
Una 100%: 3299500-2600000=(699500/700000.100)
kuna dogo ananisumbua hapa,hivi IT zina field mwaka wa kwanza mzumbe?co kute mzumbe ni 1785000 meal allowance na ni tsh 7500 kwa siku ingia kila web ya chuo utaona hiyo kitu na field co kwa wote ni kwa wale ambao wanazo mfano education
hiyo hela ya hostel mbona haipo kwenye barua zao?maana direct cost wameandika 182500.je hiyo ela ya hostel inatoka bodi as accomodation au unajilipia?kwenye hiyo mil 2 na elfu 60 iyo elfu 60 niya nini?coz chakula na library ni 1837500 kwa siku 245,
ok mi nina 3777500 na coz yangu ni 1.2 mil
msaada wakuu,kuna m2 kapata 300 000. open university. sasa hapo inagawanywa vipi?