Jinsi ya kukokotoa kiasi cha fedha ya Mkopo kuwa %

ze dudu01

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
235
15
Mfano Mimi Nimepata Loan Ya Tsh.3867000/= Hii Pesa InaGAwanywa Hivi....
¤Accomodation,Meal and Stationary kwa Vyuo Vyote wanatoa= Tsh.2000000/=
¤School fees ni = Tsh.1263000/=
Total Summation inakuwa ni Tsh.3263000/=
¤Pesa Ya field inategemea na Loan Uliyopewa ambayo ni tofouti ya Tsh.386700-Tsh.3263000= Tsh.604000
NB: kwa kuangalia Hapo the money ni 10 0%
 
Mfano Mimi Nimepata Loan Ya Tsh.3867000/= Hii Pesa InaGAwanywa Hivi....
¤Accomodation,Meal and Stationary kwa Vyuo Vyote wanatoa= Tsh.2000000/=
¤School fees ni = Tsh.1263000/=
Total Summation inakuwa ni Tsh.3263000/=
¤Pesa Ya field inategemea na Loan Uliyopewa ambayo ni tofouti ya Tsh.386700-Tsh.3263000= Tsh.604000
NB: kwa kuangalia Hapo the money ni 10 0%

Mbona sielewi.!
Mi nipo duce wamenipa 3,584,500/= Tsh.!
Ada milioni 1.! Kwa hiyo nina % ngapi.?
 
Mimi nimelamba 4.5025Mil
ada 1.5Mil
Meals & Accommodation 2Mil
jumla 3.5 mil
inabaki 1.0025Mil sasa hii ndo ya field mbona nyingi sana??
 
mimi mbona sielewi,,nimepewa 3.3 milioni afu ada ni 1.3 milion,,accomodation 2milion field haipo??????so nina 100%????????
ze dudu nipe dodoso
 
Mimi nimelamba 4.5025Mil
ada 1.5Mil
Meals & Accommodation 2Mil
jumla 3.5 mil
inabaki 1.0025Mil sasa hii ndo ya field mbona nyingi sana??

sasa unadhani mazingira na maisha ya mgodini ni rahisi kiasi hcho dats why una hicho kiasi kwa mwaka
 
nisaidieni na mimi nimepata 2,672000 na ada ni 1300000 sasa hapo ni asilimia ngapi
 
nisaidieni na mimi nimepata 2,672000 na ada ni 1300000 sasa hapo ni asilimia ngapi
 
Back
Top Bottom