racka98
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 1,041
- 1,530
- Thread starter
- #41
Ukitumia simu ikiwa kwenye charge unapunguza maisha ya battery. Sababu inakua battery inapata moto sana. Kma battery yako haipati moto wakati una charge basi hutakuwa na shida sana ila kma inapata moto sana unapunguza maisha yake. Battery za aina ya Lithium ion zilizopo kwenye simu zote sikuhz temperature yake ikizidi 45°C unakua unaiua mapema.Mkuu shukran sana kwa huu uzi
hivi ukiwa unatumia sim huku ipo kwenye charge Betry inaweza kufa?