Jinsi ya kujitangaza kwa mabenki yetu kama NMB, CRDB, TPC, NBC, DTB, ABSA bank au makampuni kupitia shirika la Posta huku ukivuna faida ya mamilioni..

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Kwanza..ni kuanzisha shindano la urafiki mwema baina ya wanafunzi la kuandika na kutumiana barua kati ya shule moja na nyingine ndani ya mkoa kwa kutumia bahasha na stempu zilizo na logo au chapa ya kampuni zitazouzwa kwa wanafunzi hao kwa bei rahisi.hapo ni mwanzo wa kujitangaza.

Pili wanafunzi wataoandika barua kwa wingi watapata zawadi ya T-shirt au smartphone au radio na shule kupewa zawadi ya peni.kama fungu lipo basi watapelekwa mbuga za wanyama.

Tatu..ni kazi ya kampuni kuandaa passport size zitazolipiwa na wanafunzi kwa ajili ya kupelekwa shule jirani au za mbali

NNE..umuhimu wake ni kutengeneza connection kufuatia wanafunzi kusoma shule za kata.
 

Attachments

  • images.png
    images.png
    5.5 KB · Views: 8
Kwani wsnashida kwenye kutangaza?
Unaangalia solo LA kesho wanafunzi wakiingia vyuo wanajiunga na huduma zenu moja kwa moja pia matangazo wanayofanya ni pesa nyingi pia mabenki yana ushindani yapo arobaini na kidogo
 
Unaangalia solo LA kesho wanafunzi wakiingia vyuo wanajiunga na huduma zenu moja kwa moja pia matangazo wanayofanya ni pesa nyingi pia mabenki yana ushindani yapo arobaini na kidogo
Nani kakwambia sekta ya fedha ina ushindani huo mkubwa kiasi hicho hapa Tanzania ?
 
Ushindani upo ndio maana nmb waliwahi kudhamini ligi kuu kujitangaza
Kudhamini ligi siyo kujitangaza.

Ndio maana Voda walijitoa hakuna kampuni iliyoenda. Wakaamua kurudi wenyewe na siyo kwamba bila kurudi wangepata hasara yoyote
 
Ndio maana nimesema makampuni yanahaha kujitangaza kwa gharama kubwa wakiona hasara wanajitoa ama kwa sababu wamekwisha jitangaza ila hii no no hasara
 
Back
Top Bottom