Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Dah kazi kweli kweli
Yaani nisome dua kila siku kama shee vile
Yaani dogo akilia nimuimbie nyimbo
Nikifikiria hayo nachoka
Dah kazi kweli kweli
Teh we sio baba boraYaani nisome dua kila siku kama shee vile
Yaani dogo akilia nimuimbie nyimbo
Nikifikiria hayo nachoka
Hi ni Moja Kati ya thread nzuri Sana ambazo nimewahi kuzisoma humu jf ubarikiwe Sana mkuu ROBERT HERIEL.Siku mke wangu atakaposhika mimba yangu tutazingatia taratibu zote kwenye Uzi huu.
Huu uzi ngoja nikitulia niusome vyema ..