Nzige The Bless
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 979
- 725
Hemu sema system ina fail ku apply na inaleta notifications ya Academic au Work experience?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hemu sema system ina fail ku apply na inaleta notifications ya Academic au Work experience?
Poa Chief asante ngoja nifanye hivyo nijaribu kuapply nione italeta notification ganiLeseni ya udereva weka kwenye Professional Qualifications weka leseni peke yake usiweke kitu kingine.
Mkuu, hapa kwenye kipengele cha institution kwenye category ya Professional naweka institution ipi? Ili niiweke hiyo leseniLeseni ya udereva weka kwenye Professional Qualifications weka leseni peke yake usiweke kitu kingine.
Mkuu, hapa kwenye kipengele cha institution kwenye category ya Professional naweka institution ipi? Ili niiweke hiyo leseni
Qualification :
Driving Licence
Institution :
Tanzania Revenue Authority (TRA)
View attachment 1569174nimeshaweka lesen kwenye category ya profession, nimejaribu kuapply imekuja notification hii
Niliiweka post #64 mkuu hapo juuWeka picha ya Academic Qualifications.
Niliiweka post #64 mkuu hapo juu
Weka picha ya Academic Qualifications.
Yaan mkuu, kuedit ndo inakataa hata option ya kudelete haipo. Hapo ndiyo mtihaniKiongozi ulivyoweka nikakwambia kuna vitu havitakiwi kuwepo hapo sasa nikategemea kutakuwa na mabadiliko kwa hiyo umeacha vile vile kama vilivyokuwa mwanzo aisee...?
Yaan mkuu, kuedit ndo inakataa hata option ya kudelete haipo. Hapo ndiyo mtihani
Pole sana Mkuu, rejea post #67 nilikujibu hii ishu.Ndugu yangu unanipotezea muda wangu bure kabisa aisee...!
Hii picha si ndio uliyoiweka mwanzo nikakwambia Driving Licence haikai hapo. Lakini pia kwa ajili ya haraka haraka tu mwenyewe ukiangalia hapo kwenye picha sehemu ya institution umeandika Driving Licence hivi kuna institution inayoitwa Driving Licence chief...?
Wee umeskia wapi...?
Asante sana, nashukuru MkuuSawa wasiliana na help desk ya Utumishi jinsi ya ku-delete hizo details ukishafanya hivyo njoo hapa nitakusaidia tulipoishia chief.
Karibu sana mkuu.
Asante sana, nashukuru Mkuu
Asante sana, nawe pia kiongoziKaribu sana ukishafanya hivyo utanijulisha chief. Ila ufanye mapema coz muda utaisha na deadline itafika.
Have a lovely day bro.
Asante sana, nawe pia kiongozi
Ni lazima kuweka vyeti vilivyo gongwa muhuri wa mwanasheria?Nimepitia uzi huu nimeona maswali mengi sana naomba nijibu machache ninayoyaweza
1. Kuna mtu kauliza kama vyeti vimejiongeza katika mfumo nifanyaje ili nivitoe? Jibu hakuna njia ya kufuta kama mwanzo uliweka vyeti ambavyo havijakuwa certified na sasa ukaweka certified copies na ukajaribu kuondoa vile vya mwanzo ikashindikana viache. Havina shida. Mfumo bado hauna option ya Delete.
2. Wengi wanapata notification ya Failed, kabla sijajibu niwaulize Je mmejaza ile sehemu imeandikwa Professional Qualification? Mjaze pale haitagoma. Mfano wewe una bachelor ya Accountancy lazima pale kwenye Proffesional Qualification uweke cheti cha NBAA.
Nadhani nimeeleweka.
Sio lazima iwe mwanasheria hata mahakamani inakubalika, hakimu anasaini, kikubwa lazima muhuri ugongwe.Ni lazima kuweka vyeti vilivyo gongwa muhuri wa mwanasheria?