Jinsi Ya Kuitangaza Tanzania

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
May 1, 2007
7,022
9,285
nimekuwa nikitafakari ni njia gani inaweza kuitangaza Tanzania kwa mafanikio makubwa na ya haraka!, alipokuja Bush, ni dhahiri Bongo ilitangazika sana,
sasa nimepata wazo kwamba iwapo itaandaliwa mechi ya SOKA kati ya wabunge wetu na wajumbe wa SENATE huko marekani halafu tukanunua muda wa matangazo ya hiyo mechi na vivutio mbali mbali tulivyo navyo kwenye vyombo vikubwa kama CNN, BBC, ALJAZEERA, halafu hiyo mechi ikafanyika kwetu hapa DSM BILA shaka hiyo itakuwa ni advertisement baab kubwa , just imagine DK Mwakyembe kasimama Mkoba, Dr Slaa yupo Middle hapo, Obama ndo Striker wao Center forward, John Maccain yuko benchi anasubiri sub, Speaker Samwel Sitta ndo captain Mwenyewe, mama Kilango na mama Clinton wapo seat moja wanapiga stori, hivi kweli bongo hapo haijatangazika?

Changamoto kwa speaker Sitta : ombeni mechi na senate ya marekani
kwi kwi kwi kwi!!!!!!!!!
 
Mkoba wao lazima awe Joe Biden "Ana mikwala mingi". Halafu kuna ile mkubwa dawa..."Kingunge ngombale Mwilu lazima apepetane na Mzee Robert C. Byrd" Siku hiyo lazima niombe ofu nigande luningani kama nikikosa tiketi maana nazo zitakuwa kasheshe kuzipata.
 
Mkoba wao lazima awe Joe Biden "Ana mikwala mingi". Halafu kuna ile mkubwa dawa..."Kingunge ngombale Mwilu lazima apepetane na Mzee Robert C. Byrd" Siku hiyo lazima niombe ofu nigande luningani kama nikikosa tiketi maana nazo zitakuwa kasheshe kuzipata.
lakini hao Senate tutawapiga nyingi, kweli wana mtu wa kumzuia, Hamadi rashidi au mzee mzima Chacha Wangwe! pale wingi ya kushoto,huku Godfrey Zambi akikamata wingi ya kulia John Kerry atafurukuta hapo?, hii nakwambia itakuwa moto balaa!!!!!!!
 
Bado wandugu mna Tanzania ,hivi kelele za mjini hamjazisikia kama wakati ni huu watu wagawane mbao Zanzibar waende zao na WaTanganyika kwao tukutane kwenye East Africa Union.
Kuna wamsai walinishangaza sana kulikuwa na maonyesho fulani pale England na Zanzibar ilihudhuria maonyesho yale jambo la ajabu nilipoingia ndani ya banda lile niliwaona wamasai wanacheza ngoma zao eti wanawakilisha ngoma za jadi za wazanzibar ,nikajiuliza tumefikwa na maswaibu gani waTanganyika tunaona aibu kuwa WaTanganyika au ni kitu gani ,hivyo nawausia tuitangaze Tanganyika na sio Tanzania.
 
Bila kusahau kamati ya ufundi kama ile ya jangwani itakayo kuwa chini ya muheshimiwa andy chenge.
 
Back
Top Bottom