JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,019
- 1,665
mkuu ulifanyaje??nilipofika hapo nilinyanyua taili za kat ngoma ikapanda kama kawa
mkuu ulifanyaje??nilipofika hapo nilinyanyua taili za kat ngoma ikapanda kama kawa
Kuna gari inaitwa Kenwood ayse ina muungurumo mmoja mtamu sanaaa...muungulumo wa open paip huwa siupendi ndo maana natumia ya engine ya kawaida
Aah mkuu tumia windows 10 bhana...Hii sehemu naikumbuka kuna crane linapakia miti ya milingoti hapo, barabara ina mawe hasa inabidi ulegeze suspension nilichelewa kidogo.
Nilikuwa natoka CAMERON Game limekufa lote, sijui ni Virus au Computer
sina raha imeniandikia Steam has stop working na kwa Peru Puno nilishafikia Divine Champion stage 872 level
nimeanza upya kuZIP ndio kabisa imegoma nikadelete ETS-2 kote mpaka Document bado imegoma kuanza, sijui mnaanzia wapi wenzangu au niDownload upya
View attachment 1264697
Brasil kama kawaida, ndani ya Kenwood truckWazee naona mmetoka brazil saiz mpo zenu puno
Brasil kama kawaida, ndani ya Kenwood truckView attachment 1264731View attachment 1264732
Mkuu hongera naona unavuta vichwa v3 vya Renault huko Brazil na Bendera yetu ya TaifaMchuma unavuta vichwa vitatu unapeleke kwa boss furani hivi
Hili balaaa jipya mjin hapaMchuma unavuta vichwa vitatu unapeleke kwa boss furani hivi View attachment 1265366
Hii ni kwa Experience driver...tu...Mchuma unavuta vichwa vitatu unapeleke kwa boss furani hivi View attachment 1265366
mbona mi natumia 7 lakini mambo ni safi tuAah mkuu tumia windows 10 bhana...
Fanya clean installation , mambo yatakuwa mswano...
hizo taili za kati ukinyanyua gali linashuka chin kidogo ili kuluhusu taili 8 za nyuma kufanya kazimkuu ulifanyaje??
tunafufua makabuliWazee naona mmetoka brazil saiz mpo zenu puno
hii ni jipya kuwahi kutokea hongera mkuuMchuma unavuta vichwa vitatu unapeleke kwa boss furani hivi View attachment 1265366
mkuu tunafufua makabuli
Ukitaka kupanda hapo weka horse power ya kati, ukiweka kubwa huwa inakwama weka ata 900hpWewe mkali bado hiyo Scania 730e ina horsepower 730 hujaiongezea injini na gearbox kubwa?
mm naweka mpaka engine ya 3400hp haipandi inateleza na theluji natafta hela nikaweke engine ya nwisho kabisa 10000hp
Hapo pananisumbua sana
Member wakali humu jamani, mnayapata wapi magari ya kimarekani (american Truck simulation) kwenye Euro TruckBrasil kama kawaida, ndani ya Kenwood truckView attachment 1264732