Jinsi ya kuhesabu m-cycle kwa couple

KAPECHA

Member
Feb 14, 2009
12
1
HI ALL,

Sisi wakatoliki kabla ya kwenda kanisani huwa tunapewa angalau kwa ufupi semina ya siku mbili na baada ya hapo huwa tunashauriwa kuhudhuria semina zozote zile zinazo endesha kuhusu familia.

Suala la kujuana kimwili ni moja ya mada kuu ambayo huwa wanapewa wanandoa watalajiwa. kwa leo nitaanza na kuelezea m -cycle.

wanawake wanatofautiana na sana kwa m-cycle na wako kama ifuatavyo

1:16 days abnormal
2:18 days abnormal
3: 21 day cycle abnormal

4: 28 day cycle which is normal

5:30 days cycle which is normal

6: 32 days cycle which is normal

7: 33 , 35, 40 or more this is abnormal


How to calculate 16 day m -cycle

mfano: umeanza kubleed leo tarehe 9 / 7/2009 kwa hiyo chukua daftari na andika na hesabu moja. hesabu kuanzia hapo mpaka utakapo fika 16 na ujua siku ya kumi na sita itaangukia tarehe ngapi? utakuja kuona siku ya 16 inaangukia tarehe 24/7/2009 hivyo your next bleed should start 25/7/2009. hivyo hivyo utaanza kuhesabu kutoka tarehe 25/7/2009 mpaka kumi na sita na utakuja kungundua kuwa siku ya kumi na sita itakuwa ni tarehe 9/8/2009. hivyo inatakiwa uanze kubleed tarehe 10/8/2009. hivyo utakuwa unahesabu vivyo kila mwezi.

Hivyo basi wanawake wanaobleed within 18 days and below huwa wana matatizo hivyo wanatakiwa waende kumuona daktari kwani kitaalamu sio sahihi. hivyo ikitokea mke wako anableed for 18 DAYS CYCLE MPELEKE hospitali akapate ushari.

Angalisho: kuna wanawake wanaokuwa na cycle ya 24 or 26 days
[U]
WANAWAKE WANAOBLEED 28 DAYS HOW TO CALCULATE SAFE DATE AND SIKU ZA MIMBA AS OTHERS SAID BEFORE[/U]


MFANO
UMEANZA KUBLEED LEO TAHERE 9/7/2009 NA UNA MZUNGUKO WA SIKU 28


9, 10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31/JULY
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23

1, 2, 3, 4, 5/AUGUST
24 25 26 27 28

HIVYO THE NEXT BLEED WILL BE TAREHE 6/AUGUST 2009
RED MEANS SIKU ZA HATARI

HIVYO BASI SIKU SALAMA NI BAADA YA DAMU KUKATA UNAWEZA KUANZA KUMTUMIA MAMA LAKINI IKIFIKA SIKU YA KUMI NA TATU YAI KUWA LIKO YATARI NA HUANZA KUSHUKA. KIPINDI HIKI MAMA HUTOKWA NA UTE MZITO WA KUNATA AMBAO HUWA NI DAWA KWA AJILI YA KULINDA NA KUTENGENEZA MJI WA MIMBA KUWA TAYARI KUPOKEA MBEGU ZA KIUME KWA AJIRI YA URUTUBISHO .HIVYO MBEGU ZA BABA HUWEZA HUSAFIRI KWA URAHISI ZAIDI KATIKA MAJI MAJI HAYA.

WANAWAKE WENYE SIKU 30 CYCLE

ASSUME AMEANZA LEO TAREHE 9/7/2009

9,10.11.12.13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31/JULY
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23

1, 2, 3, 4, 5, 6, 7 /AUGUST
24 25 26 27 28 29 30

HIVYO THE NEXT BLEED ITAKUWA TAREHE 8/8/2009

ANGALIA TOFAUTI KATI YA MTU ANAYEBLEED KWA SIKU 28 NA 30. MY LOGIC IS YAI HUCHUKUA SIKU KUMI NA NNE KUHARIBIKA BAADA YA KUKOSA KIRUTUBISHO. HIVYO HATA MWANAMKE AWE ANA CYCLE YA 16,18,20,24,26,28.30.32.34 OR 40 OR MORE. ITACHUKUA SIKU KUMI NA NNE ILI YAI LAKE LIWEKE KUHARIBIKA. NA SIKU YA KUMI NA TANO NDIO HUWA SIKU YA KWANZA KUANZA KUBLEED YAANI YAI LIMEKOSA KIRUTUBISHO.

VIVYO ANZA KUHESABU KUANZIA SIKU YA TAREHE 28 KURUDI NYUMA UTAKUTA KUWA SIKU YA KUMI NA NNE NI TAREHE 23. HIVYO SIKU YA HARATARI ITAKUWA TAREHE 22 LAKINI KWA KUWA YAI HUCHUKUA SAA 72 WAKATI LIKISUBIRI KIRUTUBISHO NDIO MAANA TUNAANZA NA SIKU YA 13 , 14, 15 TOKEA PALE ULIPOBLEED.

NA KWA MWANAMAMA ANAYECHUKUA SIKU 30 UKIHESABU KUANZIA 30 KURUDI NYUMA UTAGUNDUA KUWA SIKU YA 14 NI TAREHE 25/7

HIVYO SIKU YA HATARI NI TAREHE 24/7 NA KWA SABAU YAI HUKAA SIKU TATU HIVYO TAREHE 23,24, NA 25/7 /2009 AMBAZO NI SAWA NA SIKU YA 16, 17, NA 17 KATIKA KUHESABU CYCLE

YULE WA SIKU THELATHINI NA MBILI ITAKIWA SIKU YA HATARI NI YA 18 NA SIKU ZAKE TATU ZA HATATI NI 17, 18 NA 19 AMBAZO TAREHE 25,26,27/JULY KAMA SIKU ZAKE ZA HATARI

NATUMAI NIMEELEWEKA KWA SISI WAKATOLIKI HATURUHUSIWI KUTUMIA KONDOMU WALA KUMWAGA MBEGU NJE KUFANYA HIVYO NI SAWA NA KUFANYA DHAMBI NYINGINE. HIVYO KWETU SISI WANANDOA KALENDA NI MUHIMU SANA NA TUNASEMA KUWA TENDO LA NDOA NI TAKATIFU SANA HIVYO KUNA WAKATI UNATAKIWA KUJINYIMA ILI UWE MTAKATIFU ZAIDI. HASA SIKU ZA HATARI. ILI KUEPUSHA MIMBA.

ASANTENI
 
Mkuu hongera sana kwa kufuatilia semina kwa umakini mkubwa ingawa kuna mapungufu mengi yaliyomo kwenye mafunzo uliyo yapata na kwa mtu atakeyefuata mafunzo yako uwezekano wa kupata ujauzito ni 80%.

Ningependa kukusahihisha katika mambo yafuatayo:
Njia mnayotumia Ninyi wakatoliki Inaitwa Rhythm method of contraception au Billing Ovulatory Method (BOM) na wala sio hiyo uliyo ielezea wewe.
Vitu vinavyozingatiwa kwenye hiyo njia ni Mzunguko wa mwanamke (Calender Rythm),Ute unaotoka ukeni ( mucus rythm) na Joto la mwili (temperature rythm). Nadhani mwalimu wako ali overlook hizo rythm mbili ambazo ni muhimu sana kupredict ovulation ya mwanamke.

Kitu kingine ambacho hakipo sawa ni pale uliposema kwamba yai la mwanamke huishi kwa masaa 72. Ukweli ni kwamba ni masaa 12 hadi 24 tu.
Lakini pia katika darasa ulilo tupa umesahau kumwangalia pia mwanaume Kwa sababu mbegu ya kiume inauwezo wa kuishi masaa 72 kwa maana hiyo basi kuweka siku za hatari kwa tatu tu kwenye mzunguko ni kumwatararisha mama na mimba zisizo tarajiwa.

Kwa watu wanaotumia njia hii 20% ( failure rate of 20%) kwa sababu kuna watu ambao wanapata zaidi ya ovulation moja kwenye mzunguko mmoja,mama anaye nyonyesha, Kuna wengine pia mizunguko yao hubadilika kutokana na sababu mbali mbali kama chakula, kubadilisha mazingira, stress nk kwa hiyo ndugu yangu ni vizuri kuwa makini sana unapo tumia hii njia na uwe tayari kwa malezi yasiyotarajiwa.
 
Mheshimiwa mganga

how many days does egg take from ovary to uterus.

Three days of which iam talking is inclusive of from ovary via fallopian tube to the uterus. As you are aware that sperm ya kiume inaweza kutoka kwa haraka sana na huwa haiwezi kusafiri umbali mrefu hivyo inaweza kufa njiani. Hivyo kama yai bado lipo kwenye fallopian tube mbegu hii itabidi ilisubili yai lishuke ndio ipate kufertilize kama itakuwa na nguvu inaweza kwenda kumate kwenye fallopian tube na kusababisha mimba nnje ya kizazi.
 
Mheshimiwa mganga

how many days does egg take from ovary to uterus.

Three days of which iam talking is inclusive of from ovary via fallopian tube to the uterus. As you are aware that sperm ya kiume inaweza kutoka kwa haraka sana na huwa haiwezi kusafiri umbali mrefu hivyo inaweza kufa njiani. Hivyo kama yai bado lipo kwenye fallopian tube mbegu hii itabidi ilisubili yai lishuke ndio ipate kufertilize kama itakuwa na nguvu inaweza kwenda kumate kwenye fallopian tube na kusababisha mimba nnje ya kizazi.

Kwa kawaida mimba hutungwa kwenye mirija wakati yai linakuwa kwenye ampula na safari ya yai kutoka kwenye mirija hadi kwenye kizazi ni siku nne. kwenye kizazi ni implanatation tu hufanyika utungisho (fertilization) huwa tayari umeshafanyika kwenye mirija. Sababu za mimba ku implant nje ya kizazi (ectopic pregnancy) siyo sababu ya spidi kubwa ya sperm.
Kuna sababu nyingi sana lakini kubwa kuliko zote ni matatizo ya mirija ya kupitishia egg(ovum), kama kutakuwa na blockage ya aina yoyote au mortility ya cillia ambazo ziko ndani ya mirija itakuwa siyo nzuri. Implantaion itatokea nje ya kizazi. Kwa sababu by 6th day implantation hufanyika bila kujali ile zygote itakuwa wapi.
Tukirudi kwenye mada Mh. Kapecha naomba uzingatie marekebisho ya awali hapo juu ili kubaoresha ufanisi. Pia uzingatie failure rate ya Rythm method na kwamba haiko 100% perfect.
Asante
 
Nashukuru kwa mtalaam aliyetoa mada hii na wote waliochangia. Swali langu je,
1. utajuaje kama yai limeshanyakuliwa kwenye mirija (Fallopian tube)?
2. Mwanamke ataonesha dalili gani?
3. Ute mwepesi na mzito unaashilia nini?
 
Nashukuru kwa mtalaam aliyetoa mada hii na wote waliochangia. Swali langu je,
1. utajuaje kama yai limeshanyakuliwa kwenye mirija (Fallopian tube)?
2. Mwanamke ataonesha dalili gani?
3. Ute mwepesi na mzito unaashilia nini?

Dalili za ovulation ( kunyakuliwa kwa yai) ni nyingi ambazo ni pamoja na:
maumivu ya upande mmoja wa nyonga( one sided mid circle pelvic pain) hii pia huashiria ni ovary ya upande gani ambapo yai hutokea. joto la mwili huongezeka, some emotional changes wengine hupata furaha sana euphoria na wengine huwa wakali (hasira) sana kipindi hiki na kwahiyo wengine ashki ya kufanya tendo la ndoa huwa juu ingawa kwa baadhi wachache huwa chini.
Hutoa ute mwingi laini, Ambao husaidia kusafirisha mbegu pia hurahisisha mbegu kupenya kwa urahisi kwenye mlango wa uzazi (cervix). na kwa baadhi ya wanawake hupata maumivu kidogo kwenye matiti.
nadhani nimejaribu kujibu swali lako naomba na wataalamu wetu wachangie
 
Dah! Kwa ufafanuzi huo, ninaamini itasaidia wanawake wengi kuelewa mambo hayo.
 
Dalili za ovulation ( kunyakuliwa kwa yai) ni nyingi ambazo ni pamoja na:
maumivu ya upande mmoja wa nyonga( one sided mid circle pelvic pain) hii pia huashiria ni ovary ya upande gani ambapo yai hutokea. joto la mwili huongezeka, some emotional changes wengine hupata furaha sana euphoria na wengine huwa wakali (hasira) sana kipindi hiki na kwahiyo wengine ashki ya kufanya tendo la ndoa huwa juu ingawa kwa baadhi wachache huwa chini.
Hutoa ute mwingi laini, Ambao husaidia kusafirisha mbegu pia hurahisisha mbegu kupenya kwa urahisi kwenye mlango wa uzazi (cervix). na kwa baadhi ya wanawake hupata maumivu kidogo kwenye matiti.
nadhani nimejaribu kujibu swali lako naomba na wataalamu wetu wachangie

Asante sana Mganga wa Jadi aka kalumanzila

Ili Mbegu za kiume ziwe na uwezo wa Kurutubisha zinatakiwa ziwe na Sifa ipi, namaanisha mwanaume unatakiwa usikutane na mkeo kwa kipindi kama una mpango wa kumpa mimba au unatakiwa Ufululize

Asante
 
Asante kwa elimu hiyo lakini nina maswali .

1.Je naweza kuamua nipate mtoto gani kwa kutumia tarehe hizo za hatari,kama ni wa kike au wa kiume?

2.Naweza kutumia utaalamu huo wa kuhesabu tarehe niweze kupata watoto mapacha?
 
lalia mkono wa kushoto wakati wa tendo utapata jike,lalia mkono wa kulia utapata dume,kunywa cactus tree juice about the time of ovulation,chances ni kwamba utapata franternal twins
 
Aisee! hiyo kali... Je utafiti huo umeshaufanyia kazi na kupata matokeo?.
 
wadau nataka nijue wakati muafaka wa mzazi kufanya tendo la ndo, ni miezi mingapi ikipita tangu ajifungue?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom