Habari wanajamii, mimi nilihama mwezi wa tatu mwaka huu kutoka halmashauri A kwenda B ndani ya mkoa huohuo na uhamisho wangu ulishughulikiwa na Katibu Tawala Mkoa.
Nimefatilia kuhamisha mshahara bila mafanikio, afisa utumishi wa kule nilikotoka aliskani taarifa na kuzituma utumishi na nlipokuwa naangalia kwenye watumishi portal nlikuwa naona kwamba mabadiliko tarajiwa ni transfer na nipo pending.
Mnamo mwezi wa sita nkapatwa na shida ya kunilazimu nipate mkopo bank, nkaenda kwa Afisa utumishi wangu wa sasa wa Halmashauri Bakasema hawezi nisaidia maana system inaonyesha bado nipo Halmashauri A. Hivyo nirudi kule ndo wanihamishie mshahara.
Kule A nao wakasema wameshafanya kazi yao bado tu utumishi waconfem. Ikabidi wanishauri nikopee kulekule ili waingizw makato kwenye mfumo nami nikakubali nikafanya hvo.
Sasa huyu Afisa Utumishi wangu wa halmashauri B anataka niamishe mshahara uhamie huku, kuangalia kwenye mfumo sasa hv ile transfer na pending haipo tena yaani kama hakuna kitu kinachosubiri ipo kawaida ba mshahara haujahama na wale wa halmashauri ya A wanasema wameshafanya kazi yao.
Ni usumbufu na hata sijui la kufanya, wenye msaada wa mawazo naomba mnishauri. Japo mshahara napata ila sina amani salary slip kusoma bado nipo kulekule miez 7 sasa.
Nimefatilia kuhamisha mshahara bila mafanikio, afisa utumishi wa kule nilikotoka aliskani taarifa na kuzituma utumishi na nlipokuwa naangalia kwenye watumishi portal nlikuwa naona kwamba mabadiliko tarajiwa ni transfer na nipo pending.
Mnamo mwezi wa sita nkapatwa na shida ya kunilazimu nipate mkopo bank, nkaenda kwa Afisa utumishi wangu wa sasa wa Halmashauri Bakasema hawezi nisaidia maana system inaonyesha bado nipo Halmashauri A. Hivyo nirudi kule ndo wanihamishie mshahara.
Kule A nao wakasema wameshafanya kazi yao bado tu utumishi waconfem. Ikabidi wanishauri nikopee kulekule ili waingizw makato kwenye mfumo nami nikakubali nikafanya hvo.
Sasa huyu Afisa Utumishi wangu wa halmashauri B anataka niamishe mshahara uhamie huku, kuangalia kwenye mfumo sasa hv ile transfer na pending haipo tena yaani kama hakuna kitu kinachosubiri ipo kawaida ba mshahara haujahama na wale wa halmashauri ya A wanasema wameshafanya kazi yao.
Ni usumbufu na hata sijui la kufanya, wenye msaada wa mawazo naomba mnishauri. Japo mshahara napata ila sina amani salary slip kusoma bado nipo kulekule miez 7 sasa.