James07392
Member
- Mar 8, 2019
- 20
- 6
Habari wana jamii forum!!! Samaha mimi nina mkopo katika kampuni la Faidika nataka kuhamishia NMB.... na nimekwenda FAIDIKA wanipe balance wananizungusha tu . Naomba msaada nifanye nini kwa wale wenye uzoefu tafadhali!!!!!