FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,638
- 4,210
Nina simu yangu ya batani Itel t5020, nimesahau Password yake, nifanye trick gani ili ifunguke?
Nimejarubu kuingia YouTube ila sijafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizp langu
Nimejarubu kuingia YouTube ila sijafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizp langu