salmin siraj
Senior Member
- Oct 10, 2017
- 198
- 204
Kuna magonjwa kama kideri yanatakiwa kurudia chanjo kwa miezi mitatu lakini wafugaji wengn wakishawapa pind bado ni vifaranga wanaona wamemalzaNiliwapa chanjo zote lakini mdondo/kideri ulivyoingia tu nikakuta kuku wote 200 wapo chini
Sijakata tamaa nataka niagize tabora kuku 300 wa miezi 5