Jinsi ya kuficha picha kweny gallery Kuna mtu anapenda Sana simu yangu kufunua funua

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,136
Wakuu msaada wa fasta nawezaje kuficha picha za kweny gallery Kuna mtu anapenda Sana simu yangu.. Tueshimiane bwana.. Alaah
 
a93a80896534bae8413571f302308e39.jpg

91aa3910fd40a312cc04bf3e4f52814a.jpg

62f699fe934d0c5a66ec13f90889c50b.jpg
 
Kama unatumia tecno haina haja ya application just unaingia kwenye setting unafanya mavitu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom