Aliyekuwa mke wangu aliwahi kusahau kufuta sms za mchepuko wake nikanyamaza kimya si akajua ngonjera zake zinasikilizika akaendelea.Sasa Sikh ukisahau Kufuta Akazikuta Hizo SMS utafanyaje?
Kumbuka Kusahau IMO!
Aliyekuwa mke wangu aliwahi kusahau kufuta sms za mchepuko wake nikanyamaza kimya si akajua ngonjera zake zinasikilizika akaendelea.Sasa Sikh ukisahau Kufuta Akazikuta Hizo SMS utafanyaje?
Kumbuka Kusahau IMO!
Hii ilikua inanigharimu sana, nikawa kabla sijalal naizima kabisa na mipasword juu. Akiiwasha tu inamtaka mipasword anaachana nayo.Sema hii ya kusinzia na simu ndio iliniponza nikapiga usingizi na simu mkononi akanivizia.hii ya second space ngumu sana kuijua ukigusa button ya off unashift kwa guest account huwezi stukia mpaka mtu akuambie
Baadae ilikuwaje sasa? Uliendelea naye hivyo hvyo?Mimi mke wangu alikuwa na laini nyingi wakati mimi laini yangu ni moja tuu kwa zaidi ya miaka 15 nilijua maana yake nikapiga kimya kama vile sijui maana. Kuna laini hata sikuwa nazo na skuwa nampigia kwa laini hizo maana niljua zipo kwa kazi maalumu.
Nimeparekebisha mkuu.mkuu paalication ndo korokoro gani tena..!!!
Ok asante wacha nijaribu
In ha ,I hope ur day ilikua poa sana ? And of course me too!!.Mnateseka sana duuh!