TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,893
- 3,420
kwahiyo ukiwasha hotspot unawasha na data ndiyo inafanya kazi? mbona nikifanya usb tethering bila kuwasha data inakubali?itakuwa haujawasha data.
kama umewasha basi huna megabytes.
kwahiyo ukiwasha hotspot unawasha na data ndiyo inafanya kazi? mbona nikifanya usb tethering bila kuwasha data inakubali?itakuwa haujawasha data.
kama umewasha basi huna megabytes.
inapendeza zaidi ukiwa Offline User!!Naipenda JF
but nilimix sikumaanisha wewe mkuu, sorry for that.Hivi umekurupuka au umedhamilia kuja kunijibu usichokielewa? Nyie ndio mnaotuharibia nchi hii kihele hele kama jasho la matako, nimesoma udom na mimi ni mmoja wao ambae najivunia kusoma pale, kwa maana imenipa faida na maisha mazuri kwa level yangu! Nilipoandika hivyo nilimjibu mtu aliyeonyesha dhahili kutaka kuidharau UDOM kwa kuitaja kidharau, na si kwamba mimi ndo Nimedharau wataalamu wanaozalishwa UDOM labda umuulize uyo mtu alikua na dhamira gani kuitaja UDOM, next time usinikurupukie kunijibu usichokifatilia