Jinsi ya kufanya computer yako iwe na speed pale utumiapo

Hivi umekurupuka au umedhamilia kuja kunijibu usichokielewa? Nyie ndio mnaotuharibia nchi hii kihele hele kama jasho la matako, nimesoma udom na mimi ni mmoja wao ambae najivunia kusoma pale, kwa maana imenipa faida na maisha mazuri kwa level yangu! Nilipoandika hivyo nilimjibu mtu aliyeonyesha dhahili kutaka kuidharau UDOM kwa kuitaja kidharau, na si kwamba mimi ndo Nimedharau wataalamu wanaozalishwa UDOM labda umuulize uyo mtu alikua na dhamira gani kuitaja UDOM, next time usinikurupukie kunijibu usichokifatilia
but nilimix sikumaanisha wewe mkuu, sorry for that.
 
Back
Top Bottom