Fungua video unayotaka kuipakua, nenda kwenye link ya video mf https://www.youtube.com/watch?.....replace hiyo sehemu ya red kwa kuandika ss halafu Enter.Ukishafanya hivyo itakuletea option ya kupakua nawe utafanya hivyo. Hakuna haja ya kuwa na Downloader.Namna ya "ku-download" video toka youtube.
Hii kitu nakuunga mkono iko vzr sana mdau.Itafute videoder iko powaaa
Tena hii latest vision duuuuuuuh amaizing sana make imeconnect YouTube na source za kutoshaHii kitu nakuunga mkono iko vzr sana mdau.
Mkuu hii app ina size gani za mb?
Mkuuu haizid mb 5Mkuu hii app ina size gani za mb?
Shukrani sana mkuuMkuuu haizid mb 5