Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,371
- 6,506
iko vizuri mkuu
Na kama unampiga na bado anakuganda huyo hana akili kama weweSiwezag kujibizana na mwanamke me ni kipigo tuu.
Na kama unampiga na bado anakuganda huyo hana akili kama weweSiwezag kujibizana na mwanamke me ni kipigo tuu.
Polee
Sio ubya ndugu heshima hainunuliwi.Sawa. Sasa subiria mwanao aolewe alaf afanyiwe kama unavyofanya wewe kwa wanawake. Ubaya huvuta ubaya ndugu.. Jaribu kubadilika. Usimpige mwanamke..NEVER
wapare nao wamoKwa wameru, waarusha, wakurya, wapare na wanyakyusa ni ngumu kutulia.
Nope i am quite different. I respect every hoe so i do not need quarrels.Na kama unampiga na bado anakuganda huyo hana akili kama wewe