Jamani kama kuna mtu anaweza kutusaidia jinsi ya kuchangia CHADEMA kwa namba 111333 kwa Vodacom tunaomba atupatie maelezo
Nina uhakika waCDM na WaTZ kwa ujumla watatuma Pesa kwa MPESA ila VODA, watupe means ya kuauthenticate kama kweli Pesa zetu zimefika kwa viongozi wa CDM....
Kama hawawezi Basi napendekeza yafuatayo....
1. Kuwa na Means ya kupokea Message za wanachama na kiasi gani za Pesa zilizotumwa....
2. Kuwa na means ya kutuma Pesa pamoja na Namba ya Kadi ili mwisho wa siku uweze kujua ni kiwango gani umekichangia Chama...
Nina uhakika waCDM na WaTZ kwa ujumla watatuma Pesa kwa MPESA ila VODA, watupe means ya kuauthenticate kama kweli Pesa zetu zimefika kwa viongozi wa CDM....
Kama hawawezi Basi napendekeza yafuatayo....
1. Kuwa na Means ya kupokea Message za wanachama na kiasi gani za Pesa zilizotumwa....
2. Kuwa na means ya kutuma Pesa pamoja na Namba ya Kadi ili mwisho wa siku uweze kujua ni kiwango gani umekichangia Chama...