Jinsi ya kucalculate kiasi cha kodi kinachozidi endapo CIF ya gari itakuwa kubwa zaidi ya CIF ya kwenye calculator ya TRA.

ben jul

New Member
Jul 4, 2013
1
0
Habari za muda wakuu, Naomba kupata ufafanuzi ni jinsi gani TRA wanacalculate kodi endapo itatokea gharama za CIF uliyonunulia gari imekuwa kubwa kuliko ya kwenye calculator yao.
 
Habari za muda wakuu, Naomba kupata ufafanuzi ni jinsi gani TRA wanacalculate kodi endapo itatokea gharama za CIF uliyonunulia gari imekuwa kubwa kuliko ya kwenye calculator yao.
Wanatumia Invoice yako. Thats means kodi nayo itapanda
 
Habari za muda wakuu, Naomba kupata ufafanuzi ni jinsi gani TRA wanacalculate kodi endapo itatokea gharama za CIF uliyonunulia gari imekuwa kubwa kuliko ya kwenye calculator yao.
1.TRA calculator ni Estimation za gharama za ununuzi, mean wanaamini gari itakua imenunuliwa kwa hicho kiasi.

2. Sheria ya kodi ya forodha, " Whichever is higher", kwahiyo kama CIF ya kwenye calulator itakua kubwa kuliko CIF ya invoice yako, TRA watacalculate kodi kwa kubase kwenye CIF ya calculator, and vice versa is TRUE.
 
1.TRA calculator ni Estimation za gharama za ununuzi, mean wanaamini gari itakua imenunuliwa kwa hicho kiasi.

2. Sheria ya kodi ya forodha, " Whichever is higher", kwahiyo kama CIF ya kwenye calulator itakua kubwa kuliko CIF ya invoice yako, TRA watacalculate kodi kwa kubase kwenye CIF ya calculator, and vice versa is TRUE.
Umeelezea vizuri sana. Sasa soma swali kwa umakini na umjibu kwa ufasaha
 
Ku calculate kodi yake inategemea mwaka iliyotengenezwa na aina ya gari. Njia ziko nyingi.

La msingi, angalia tofauti ya bei uliyonunulia na ile iliyoko kwenye tra calculator. Angalia kwenye calculator gari hiyo imetozwaje kodi. Ile tofauti yako ya bei unaipigia kodi kulingana na asilimia za kwenye calculator za gari hiyo.
Inahitaji utaalamu kidogo.
 
Umeelezea vizuri sana. Sasa soma swali kwa umakini na umjibu kwa ufasaha
Mkuu nishamjibu

Kwa maelezo zaidi, Calculation ya kodi za magari ni Import duty 25%, Excise Duty( hapa kodi ya uchakavu) depending miaka pamoja na VAT 18%. Lakini kodi zote hizo zinabase kwenye CIF.

Kutokana kodi inasema "whichever is higher" na CIF ya invoice yake ni kubwa kuliko calculator, TRA watacalculate kodi kubase kwenye CIF ya invoice yake na kuacha estimation ya calculator yao.

Simple afanye hivi kwa makadilio, if CIF 'x' kwenye TRA calculator imeleta kodi 'Z' je CIF ya kwenye invoice yake italeta kodi ngapi, just cross multiplication mathematics
 
HAKUNA NAMNA YA KUWAOMBA MAKAMPUNI YA MAGARI KAMA SBT,BEFOWARD ,AUTOCOM KUSHUSHA INVOICE IENDANE NA YA KWENYE CALCULATOR YA TRA??
 
Habari za muda wakuu, Naomba kupata ufafanuzi ni jinsi gani TRA wanacalculate kodi endapo itatokea gharama za CIF uliyonunulia gari imekuwa kubwa kuliko ya kwenye calculator yao.
Wanachukua bei ya CIF ya invoice. Ila kama bei ya invoice ni ndogo kuliko ile iliyopo kwenye database ya TRA then watachukua ile ya makadirio ya TRA.

TRA ni mamlaka ambayo kazi yake ipo kinyume na sheria rasmi za nchi. Wanachofanya ni kudhulumu raia ili wapate pesa za kuwapa mabwanyenye wa CCM wazitapanye kwenye maisha yao ya Anasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom