Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
Wakuu mwenyewe kujua jinsi ya kubypass Tecno W1 anisaidie maana nimereset inadai email niliyotumia mwanzo na me siikumbuki
Daahnenda sehemu ambayo kuna wifi ,mfano kama uko karibu na ofisi za Tigo,Voda n.k,watakusaidia.
Kuflash simu Bado tu itadai Google Mail Kikubwa Fanya Hivi!
Tafuta wifi....kwenye Kuingiza Password keybord itapop up...ikisha pop up tafuta option ya kwenda settings za simu!
Option ya settings ikishajitokeza nenda kwenye wifi then connect!
Ukishaconnect nenda kwenye apps afu uende kwenye youtube!
Ukishafika kwenye youtube nenda kwenye Data usage halfu click
Hapo itakuletea option ya kuingia mtandaon chagua chrome!
Ukishachagua chrome usi log in kwenye chrome just click No, Thanks
Then search Apk inaitwa The Test DPC 3.0.6...then download
Ikishamaliza kudownload pop up itakuja kwamba download done!....click then install the app
Aftel installation pop up itakuja kwamba open!
Open halafu nenda kwenye option ya ku encrypt hapo uwe ushaclick option ya ku wa new user
Hakikisha simu yako ina zaidi ya 80% chaji....after encryption utakuwa usha bypass google verification!
Ni PMOption ya kwenda kwenye setting ya simu kwenye keyboard unaipataje mkuu samahani lakini???