Jinsi ya kuapload picha kutumia simu

iron finger

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
358
220
wakuu tafadhali nilikuwa nahitaji ni jinsi gani ntaweza kuweka picha apa jamii forum kwa kutumia simu yangu
 
Opera mini haitaweza kufungua PC Mode kwa kuwa PC MODE ina matatizo, je una UC BROWSER? Ndio nimeitumia sasa hivi kubadili avatar na prof picture yangu.
 
Yaani Sasa hivi tu nimetoka kubadili picture zangu. Wala haijanisumbua. Kama una UC BROWSER, niambie nikuelekeze.
 
Wataalam mjapo humu,naomba m2fafanulie kwa undani zaidi kwani wengi humu JF tuna matatizo kama hayo yanayo2kabili. Zaidi ya yote,nasema kama kuna anayejua matibabu tajwa hapo juu asiache ku2juza.
 
Kwanza kabisa napenda kusema samahani kwa kuchelewa kuwaelekeza. Nilikuwa nakariri steps ili niwakeleze vizuri.

Kuna top mobile browser ambazo ni Operamini/Opera beta, Uc Browser, BOLT n.k. Hizi zote ni browser ambazo wengi wetu tunazo.

Mjue kuwa hakuna njia ya ku-upload picha katika Jamii Forum kwenye version ya Jf Mobile, Ila unaweza ku-upload katika Version ya PC MODE tu!
Kwa bahati mbaya hiyo version ina matatizo kwa sasa. Haifunguki tena, nimepiga kelele kwa mods na hawajanijibu tatizo ni nini.
Baadhi ya mobile browser zinaweza kufungua PC MODE na nyingine haziwezi.


Operamini inaweza kufungua PC Mode endapo uta-select 'PC MODE' hapo juu pembeni ya 'LogOut' option. Lakina kwa sasa nadhani ina matatizo ila naamini wataalamu wanajitahidi kuitengeneza. Hivyo basi, kama unatumia hii browser kwa sasa hautaweza kuifungua page ya JF ya PC Mode.

BOLT browser inaweza kuifungua PC MODE, unaweza kusoma likes zako, kujua page visitors wa page yako, friend requests na kuedit details zako, ila tatizo lake haiwezi ku-upload picha, sometime zinakataa kwa kuwa BOLT haipo safe sometime.

UC BROWSER inaweza kufungua pages kwa format ya Wap (Jf Mobile) na Web (Jf Pc Mode). Ni kwenda katika settings tu
................,....,........
fungua Uc Browser yako,
select 'Menu'> 'Settings'> then
select 'Preferences' > utaona
choice imeandikwa 'Network
User Agent' ukiichagua utapewa
choice tatu 1.No, 2.Wap UA 3.Web
UA... Chagua 'Web UA' then save
setting.. Page zote zitakuwa
katika format ya Web na sio Wap
tena.
Ukishindwa niPM.
...............................
NB: Ukichagua Web UA utaweza kufungua JF PC kama kwenye computer (PC MODE), ukichagua 'Wap UA' utakuwa unaifungua Jf kwa Mobile version. Its ur choice. So, kama utakuwa unataka ku-upload picha utaenda setting (katika format ya Pc Mode ukiwa umeshachagua 'Web UA' katika settings ya Uc Browser) then utaona choice za 'change avatar picture' na 'change profile picture' utabadili kwa ku-upload picha iliyopo kwenye simu. Katika page hiyo pia utaweza kusoma likes zako, kujua page visitors wa page yako, friend requests na kuedit details zako na kuweka picha. Its good and easy. Naamini mmenielewa. Kama umeshindwa nitumie PM nitakuelekeza vizuri. Nawatakia usiku mwema.
 
Kwanza kabisa napenda kusema samahani kwa kuchelewa kuwaelekeza. Nilikuwa nakariri steps ili niwakeleze vizuri.

Kuna top mobile browser ambazo ni Operamini/Opera beta, Uc Browser, BOLT n.k. Hizi zote ni browser ambazo wengi wetu tunazo.

Mjue kuwa hakuna njia ya ku-upload picha katika Jamii Forum kwenye version ya Jf Mobile, Ila unaweza ku-upload katika Version ya PC MODE tu!
Kwa bahati mbaya hiyo version ina matatizo kwa sasa. Haifunguki tena, nimepiga kelele kwa mods na hawajanijibu tatizo ni nini.
Baadhi ya mobile browser zinaweza kufungua PC MODE na nyingine haziwezi.


Operamini inaweza kufungua PC Mode endapo uta-select 'PC MODE' hapo juu pembeni ya 'LogOut' option. Lakina kwa sasa nadhani ina matatizo ila naamini wataalamu wanajitahidi kuitengeneza. Hivyo basi, kama unatumia hii browser kwa sasa hautaweza kuifungua page ya JF ya PC Mode.

BOLT browser inaweza kuifungua PC MODE, unaweza kusoma likes zako, kujua page visitors wa page yako, friend requests na kuedit details zako, ila tatizo lake haiwezi ku-upload picha, sometime zinakataa kwa kuwa BOLT haipo safe sometime.

UC BROWSER inaweza kufungua pages kwa format ya Wap (Jf Mobile) na Web (Jf Pc Mode). Ni kwenda katika settings tu
................,....,........
fungua Uc Browser yako,
select 'Menu'> 'Settings'> then
select 'Preferences' > utaona
choice imeandikwa 'Network
User Agent' ukiichagua utapewa
choice tatu 1.No, 2.Wap UA 3.Web
UA... Chagua 'Web UA' then save
setting.. Page zote zitakuwa
katika format ya Web na sio Wap
tena.
Ukishindwa niPM.
...............................
NB: Ukichagua Web UA utaweza kufungua JF PC kama kwenye computer (PC MODE), ukichagua 'Wap UA' utakuwa unaifungua Jf kwa Mobile version. Its ur choice. So, kama utakuwa unataka ku-upload picha utaenda setting (katika format ya Pc Mode ukiwa umeshachagua 'Web UA' katika settings ya Uc Browser) then utaona choice za 'change avatar picture' na 'change profile picture' utabadili kwa ku-upload picha iliyopo kwenye simu. Katika page hiyo pia utaweza kusoma likes zako, kujua page visitors wa page yako, friend requests na kuedit details zako na kuweka picha. Its good and easy. Naamini mmenielewa. Kama umeshindwa nitumie PM nitakuelekeza vizuri. Nawatakia usiku mwema.

Hivi vichwa vya IT muhimu sana humu JF, hawa ndio kina Steve Jobs wetu
 
Kwanza kabisa napenda kusema samahani kwa kuchelewa kuwaelekeza. Nilikuwa nakariri steps ili niwakeleze vizuri.

Kuna top mobile browser ambazo ni Operamini/Opera beta, Uc Browser, BOLT n.k. Hizi zote ni browser ambazo wengi wetu tunazo.

Mjue kuwa hakuna njia ya ku-upload picha katika Jamii Forum kwenye version ya Jf Mobile, Ila unaweza ku-upload katika Version ya PC MODE tu!
Kwa bahati mbaya hiyo version ina matatizo kwa sasa. Haifunguki tena, nimepiga kelele kwa mods na hawajanijibu tatizo ni nini.
Baadhi ya mobile browser zinaweza kufungua PC MODE na nyingine haziwezi.


Operamini inaweza kufungua PC Mode endapo uta-select 'PC MODE' hapo juu pembeni ya 'LogOut' option. Lakina kwa sasa nadhani ina matatizo ila naamini wataalamu wanajitahidi kuitengeneza. Hivyo basi, kama unatumia hii browser kwa sasa hautaweza kuifungua page ya JF ya PC Mode.

BOLT browser inaweza kuifungua PC MODE, unaweza kusoma likes zako, kujua page visitors wa page yako, friend requests na kuedit details zako, ila tatizo lake haiwezi ku-upload picha, sometime zinakataa kwa kuwa BOLT haipo safe sometime.

UC BROWSER inaweza kufungua pages kwa format ya Wap (Jf Mobile) na Web (Jf Pc Mode). Ni kwenda katika settings tu
................,....,........
fungua Uc Browser yako,
select 'Menu'> 'Settings'> then
select 'Preferences' > utaona
choice imeandikwa 'Network
User Agent' ukiichagua utapewa
choice tatu 1.No, 2.Wap UA 3.Web
UA... Chagua 'Web UA' then save
setting.. Page zote zitakuwa
katika format ya Web na sio Wap
tena.
Ukishindwa niPM.
...............................
NB: Ukichagua Web UA utaweza kufungua JF PC kama kwenye computer (PC MODE), ukichagua 'Wap UA' utakuwa unaifungua Jf kwa Mobile version. Its ur choice. So, kama utakuwa unataka ku-upload picha utaenda setting (katika format ya Pc Mode ukiwa umeshachagua 'Web UA' katika settings ya Uc Browser) then utaona choice za 'change avatar picture' na 'change profile picture' utabadili kwa ku-upload picha iliyopo kwenye simu. Katika page hiyo pia utaweza kusoma likes zako, kujua page visitors wa page yako, friend requests na kuedit details zako na kuweka picha. Its good and easy. Naamini mmenielewa. Kama umeshindwa nitumie PM nitakuelekeza vizuri. Nawatakia usiku mwema.

Shukrani Mkuu umeniondoa tongotongo aisee!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom