Jinsi ya kuandaa Biscuti za Jam

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
264,065
1,075,482
JINSI YA KUANDAA NA KUTENGENEZA BISKUTI ZA JAM .

MAHITAJI:-
Unga 2½ glasi
Sukari ¾ glasi
Samli\blue band(ndogo)
Mayai 2
Baking powder 2 kijiko vya chai
Vanilla 1½ kijiko cha chai Maganda ya chungwa 1(kwaruzia kwenye carrot grater ili kupata unga unga wa maganda)
Jam yoyote uipendayo

NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA
1.Tia kwenye machine ya kusagia (blender) mayai, sukari, vanilla, unga wa maganda ya chungwa, saga vizuri,samli.

2.Tia unga kwenye bakuli pamoja na baking powder, mimina vitu ulivyosaga kwenye bakuli, changanya.

3.Punguza unga uliochanganya kidogo weka pembeni.

4.Unga uliobakia tia kwenya tray ya kuchomeya, utandaze vizuri, tia jam juu yake.

5.Chukua la kukwaruzia carrot (grater) ukwaruze unga uliuopunguza juu ya jam.

6.Choma kwa muda dakika 20 moto wa 180 C.
7.Acha ipowe kidogo, zikate vipande vya mraba (square)
 
JINSI YA KUANDAA NA KUTENGENEZA BISKUTI ZA JAM .

MAHITAJI:-
Unga 2½ glasi
Sukari ¾ glasi
Samli\blue band(ndogo)
Mayai 2
Baking powder 2 kijiko vya chai
Vanilla 1½ kijiko cha chai Maganda ya chungwa 1(kwaruzia kwenye carrot grater ili kupata unga unga wa maganda)

NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA
1.Tia kwenye machine ya kusagia (blender) mayai, sukari, vanilla, unga wa maganda ya chungwa, saga vizuri,samli.

2.Tia unga kwenye bakuli pamoja na baking powder, mimina vitu ulivyosaga kwenye bakuli, changanya.

3.Punguza unga uliochanganya kidogo weka pembeni.

4.Unga uliobakia tia kwenya tray ya kuchomeya, utandaze vizuri, tia jam juu yake.

5.Chukua la kukwaruzia carrot (grater) ukwaruze unga uliuopunguza juu ya jam.

6.Choma kwa muda dakika 20 moto wa 180 C.
7.Acha ipowe kidogo, zikate vipande vya mraba (square)
AYA EM WAHI UKAWAPIKIE WATOTO UGALI FANYA HARAKA TOKEA UWAACHE MCHANA HADI SASA HIVI HAWAJALA FANYA HIVYO WATAKUSHTAKI
 
Bado tunasubiria picha Numbisa

Kumbe humjui Numbisa?

Picha yake hii hapa...
upload_2018-2-13_20-47-29.jpeg
 
Shukran kwa marekebisho nimesharekebisha
Oooh kumbe ni hizi ni tamu halafu rahisi sana kupika! Ulivyosema biskuti za jam sikulewa haraka!

Kweney mahitaji hujaweka jam lakini, hebu fanyia marekebisho hilo!
 
Shukran kwa marekebisho nimesharekebisha
Oooh kumbe ni hizi ni tamu halafu rahisi sana kupika! Ulivyosema biskuti za jam sikulewa haraka!

Kweney mahitaji hujaweka jam lakini, hebu fanyia marekebisho hilo!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom