Jinsi ya kuacha kuvuta sigara (A Guide to Quitting Smoking)

Mimi nliamua ku switch kwenda sigara dawa. Nina zaidi ya miez 8 sijawah kuvuta enye iko na filter
Upande huu alosto hakuna kabsa. Nko mbioni kutemana.
Lakn katika kitu ngumu n kuacha
 
Unatakiwa uwe unapunguza kiwango kila baada ya muda fulani..
Mfano....

Day 1... vuta 10

Day 4...vuta 7

Day 7...vuta 4

Day 11...vuta 3

Day 15....vuta 1

Then ishi hapo kwa muda kama wiki.. Taratibu utakua unaanza kuacha ila kwa pupa huwezi kuacha gafla man
 
Uache umuachie nani mkuu,sisi peke yetu bila wewe hatuwez kuzimaliza dukani.....
Plz plz plz usipotelee mwisho
 
Jinsi ya kuacha kuvuta sigara
Sigara unatakiwa kuacha "coldturkey" yaani papo kwa hapo. Hautakiwi kupunguza kidogo kidogo. Utapata shida mwanzoni lakini ukishafikisha siku 14 mpaka 30 bila kuvuta, ile hamu ya sigara inakuwa imeshapotea mwilini mwako.
 
Jinsi ya kuacha kuvuta sigara
1: Kukata shauri la kuacha kuvuta toka ndani yako.

2: Epuka vishawishi vinavyokusababisha uvute.

3: Kuna chewing gum ambazo zina nicotine kwa kiasi kidogo. Ambazo hutumika kupunguza hamu, kiasi cha kuanzia hutegemea na kiasi cha sigara kwa siku ulichokuwa unavuta vs urefu wa muda uliotumia kimaisha. Hivyo, unaenda ukipunguza kiasi cha gums kadri muda unavyoenda na mwisho kuacha kabisa bila madhara.
 
Mimi nliamua ku switch kwenda sigara dawa. Nina zaidi ya miez 8 sijawah kuvuta enye iko na filter
Upande huu alosto hakuna kabsa. Nko mbioni kutemana.
Lakn katika kitu ngumu n kuacha
mkuu sigara dawa bei ya jumla tunauza... Nitafutie wateja huko ulipo
 
1: Kukata shauri la kuacha kuvuta toka ndani yako.

2: Epuka vishawishi vinavyokusababisha uvute.

3: Kuna chewing gum ambazo zina nicotine kwa kiasi kidogo. Ambazo hutumika kupunguza hamu, kiasi cha kuanzia hutegemea na kiasi cha sigara kwa siku ulichokuwa unavuta vs urefu wa muda uliotumia kimaisha. Hivyo, unaenda ukipunguza kiasi cha gums kadri muda unavyoenda na mwisho kuacha kabisa bila madhara.
Asante mkuu je izo chewing gum zinaitwaje
 
Ukitaka kuacha kwa uhakika, maamuzi yatoke moyoni mwako; useme sasa basi!

Utapata shida mwanzoni, ila kama umekata shauri utashinda! Epuka kukaa na wavutaji. Fanya mazoezi, kichwa kikiuma meza panadol. Jaribu kufikiria magonjwa yote yanayoletwa na sigara/tumbaku, kansa, moyo, kisukari, mapafu, kupunguza nguvu za kiume, nk., hiyo ikupe nguvu ya kuacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom