The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,424
- 13,380
Wakuu Nawasalimu wote ,nasimama na CAG!
Mwishoni mwa mwaka mimi na Jamaa zangu tuliona tukafanye kazi na Bata Nairobi Kenya kwa maana huu uelekeo wa vyuma haueleweki basi tukakubaliane tukachunguze masoko yao tuone tunafanyaje .
Nairobi iko full of life wakenya wanakula bata balaa ,hii hunifanya niwapende sana hawa ndugu zetu wa damu kwenye kazi wako serious na bata usiseme ,Nairobi hakuna huu upuuzi wa polisi kuranda randa kufunga baa ,Nairobi ilimradi uwe na papers hakuna mtu anamuda na mambo yako.
Nilichokiona kipya aisee wakenya wanapenda miziki ya kwetu hususani ya wasafi na alikiba yaani kila club nikiingia ni kama niko sinza hata mziki wa naigeria tumeufunika ,bolingo hawataki sikia .
Halafu wako so into Diamond life yaani wanavyochambua mambo yake hadi najiuliza mondi huyu mtoto ni mchawi nini ,yaani wanakusimulia mpaka mahusiano yake na penny deep mengine nilijulia kwao.
Natoa rai kwa wasanii wetu ,hapohapo mliposhikilia wanangu msiachieeeee .
Mwishoni mwa mwaka mimi na Jamaa zangu tuliona tukafanye kazi na Bata Nairobi Kenya kwa maana huu uelekeo wa vyuma haueleweki basi tukakubaliane tukachunguze masoko yao tuone tunafanyaje .
Nairobi iko full of life wakenya wanakula bata balaa ,hii hunifanya niwapende sana hawa ndugu zetu wa damu kwenye kazi wako serious na bata usiseme ,Nairobi hakuna huu upuuzi wa polisi kuranda randa kufunga baa ,Nairobi ilimradi uwe na papers hakuna mtu anamuda na mambo yako.
Nilichokiona kipya aisee wakenya wanapenda miziki ya kwetu hususani ya wasafi na alikiba yaani kila club nikiingia ni kama niko sinza hata mziki wa naigeria tumeufunika ,bolingo hawataki sikia .
Halafu wako so into Diamond life yaani wanavyochambua mambo yake hadi najiuliza mondi huyu mtoto ni mchawi nini ,yaani wanakusimulia mpaka mahusiano yake na penny deep mengine nilijulia kwao.
Natoa rai kwa wasanii wetu ,hapohapo mliposhikilia wanangu msiachieeeee .