Jinsi wageni watakavyo leta vita Tanzania!

Shamba la bibi kila anayetaka kuchuma anakuja hapa fanya kazi kidogo tuu bila shaka zoa mahera rasirimali ishia wahindi,waarabu,waethiopia,wasomali,wakenya,wanyasa,wanyarwanda,waganda,wakongo,wanaijeria,wachina,wakorea,kila mtu kwa tani yake tuuendeleee tuuu mwisho wake tutakuja kuona
 
Yote hii ni kwa sababu ya rushwa rushwa mbaya sana sana sana hakuna ma labour inspector watu wa immigration ndio wanaenda kuwapokea hao wageni,wakuu wa mikoa ,wilaya polisi,watendaji wa kata wenyeviti wa vijiji wote rushwa rushwa rushwa tuuu ,mwisho wake ni nini sijawahi kuona
 
Hivi vita tumeshavishindwa! Tutaongea weeeee but where!!!

Hapa ni sawasawa na kupiga makonzi kinyago, au, kumpigia mbuzi gitaa - wote hawaelewi kitu!!

Ama kweli tanzania itajengwa na wenye moyo!!! Aaaargghhhhh!!!
 
Jamani mimi nawaogopa wakenya kama ukoma! Niliangalia ile last post election genocide.....mmmh!...you will not like any Kenyani...mijitu inauana bila huruma...simply on ethenic grounds! Kati ya vitu ambavyo huvikumbuka kwenye sala zangu ni....kwenye EAC wakenya wasiruhusiwe kupata au kuhamia nchi nyingine...I percieve a Kenyan as bad omen..seriously. Njonjo arrogance prevails everywhere in Kenya! Every one thinks is better than other....crazy! Nashukuru Tz gov imetilia ngumu kuridhia mambo makubwa ambayo wakenya waliya-impose kwenye mkataba wa soko la pamoja, ardhi na passport. Wako vikabila vichache lakini vurugu kwenda mbele, je wakichanganyika nasi zaidi ya makabila 120 itakuwaje.

Keep Kenyans contained in their genocidal country, then EAC will be ok.
 
Jamani mimi nawaogopa wakenya kama ukoma! Niliangalia ile last post election genocide.....mmmh!...you will not like any Kenyani...mijitu inauana bila huruma...simply on ethenic grounds! Kati ya vitu ambavyo huvikumbuka kwenye sala zangu ni....kwenye EAC wakenya wasiruhusiwe kupata au kuhamia nchi nyingine...I percieve a Kenyan as bad omen..seriously. Njonjo arrogance prevails everywhere in Kenya! Every one thinks is better than other....crazy! Nashukuru Tz gov imetilia ngumu kuridhia mambo makubwa ambayo wakenya waliya-impose kwenye mkataba wa soko la pamoja, ardhi na passport. Wako vikabila vichache lakini vurugu kwenda mbele, je wakichanganyika nasi zaidi ya makabila 120 itakuwaje.

Keep Kenyans contained in their genocidal country, then EAC will be ok.

aaawww you scared of kenyans? you should be. kenyans are ruthless and we are coming to tanzania after july 1st. you better get yourself ready or will slide in irrelevancy when kenyans ugandans and rwandans come to tanzania

EAC IS HERE TO STAY
 
kila nikiona neno EAC roho inanilipuka, sijui tufanyeje watanzania ili huu mkataba wa AEC usisainiwe hiyo july,cha kushangaza wanaoona madhara ya hii EAC ni watu waliombali na nyumbani(ulaya) lakini wenyewe huko bongo wanachekelea tu,na sijasikia hata chombo kimoja cha habari kikijaribu kuwaonyesha watanzania waliolala nini madhara yake.
cha kuumiza hao viongozo wanaosaini huo mkataba tayari wanajua future ya vitukuu vyao,kwa mfano mdogo tu ni huyu raisi wetu KIWETE,ukoo mzima upo serikalini,unadhani atakujua wewe usiyemuhusu?
kwa nchi za wenzetu huku ulaya jumuiya kama hizi inabidi wananchi ndio wapige kura kama wanataka au hawataki kujiunga na yeyote, TUMEISHA WA BONGO.

Wakati safari ya EAEC inaanza ulikuwa wapi?
 
Nenda North mara Gold mine, utawakuta walinzi wametoka south africa.
Nilishawahi kuhoji kwa kuandika barua ya wazi kw awaziri husika lakini mpaka leo majibu no!!!!!!!!!!!!!
Umeshawahi kuona mfanya manunuzi ya nyanya za kupika kwenye kampuni anatoka sauzi?????????????
Nimeshuhudia kwa macho yangu na niliwahi kulilalamikia lakini hakuna kilichofanyika.
Mbaya zaidi wengi wao hawana vibali vya kufanya kazi tz.
utacheka kweli watendaji wetu bongo zao zilivyo butu!!!!!!!!!!

Ingekuwa vizuri ukiongea na mbunge wako - that is kama hajachukua chake:smiling:
 
and still the EAC is on the way. BWAHAHAHAHAAA, we coming for those jobs!!!! yall better start saving up cuz kenyans ugandans and rwandanese are coming in DROVES for those jobs and yall cant do anything about that.

Why don´t you ask what is wrong with our education/training?
 
Hata mimi siwaogopi chupaku. I don't know what's the problem with these Kenyans. Personally, nawapenda sana waTZ sababu hawana Kasheshe nyingi ka wakenya. Wakenya ni wajuaji tu na hawana obongo. Kazi yao ni kunyemelea kazi za jirani na kuchukua, leaving tanzanians jobless and stranded, even confused. I think we should show them we don't fear them, ama aje Chupaku??:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:.................oh boy, what a sob.

RealDeal,
The question is not you being afraid of whomsoever. Can you deliver?
For the past 40+ years we Tanzanians were not trained in creative thinking, scientific collection of facts and correct summation of results. We learnt memorising the old facts. We are now faced with those who are trained in thinking out of the box.
Until we overhaul our education system, be assured we will still be followers.
The idea was we should run while others walk - but I guess that was JKNs dream.
 
Jitihada za kuzuia wageni enzi hizi za globalization ni kupigana na wakati, ambao ni ukuta. Badala yake tujizatiti kushindana nao, na watanzania wanaoweza watoke nje ya nchi kufanya kazi ili ngoma iwe dro.

IMO, Suala hapa sio kuzuia wageni. Suala hapa ni kuweka balance baina ya mahitaji ya labor forces (in terms of knowhow, quantity, experience ) vs local unemployment. Sidhani kama globalisation itatusaidia ikiwa tutaacha tu mambo yaende bila udhibiti kama maji kwene mto. Ukiruhusu hili watajaa hapa wachina na makampuni yao, na wataajiri kuanzia Director hadi mlinzi kutoka China.

Lazima iwepo misingi ya ku-waincorporate the local wananchi ktk ajira yeyote ile inayopatikana ndani ya mikapa yetu, bila hivo jamii itaachwa nyuma milele.
 
Rukwa arrests over 14,000 aliens PETI SIYAME, Sumbawanga



This exercise was long overdue because tumekuwa wakarimu sana, sasa wanafikiria tuendelee kuwakaribisha.



Yesterday's news is no news....lete current info....hii inaonekana ni 3 years old enzi za Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya....no relation kabisa na topic ya hii thread...
 
IMO, Suala hapa sio kuzuia wageni. Suala hapa ni kuweka balance baina ya mahitaji ya labor forces (in terms of knowhow, quantity, experience ) vs local unemployment. Sidhani kama globalisation itatusaidia ikiwa tutaacha tu mambo yaende bila udhibiti kama maji kwene mto. Ukiruhusu hili watajaa hapa wachina na makampuni yao, na wataajiri kuanzia Director hadi mlinzi kutoka China.

Lazima iwepo misingi ya ku-waincorporate the local wananchi ktk ajira yeyote ile inayopatikana ndani ya mikapa yetu, bila hivo jamii itaachwa nyuma milele.
labda hicho ndicho wasicho elewa amna anaesema wasije hila waje kwa mpango. Mmmh hila kwa jinsi walivyokuwa determined naanza kujiuliza sijui nini wanakijua kuhusu nchi yetu ambacho wenyewe atujui. Au labda wanaona kama vile first world kulinganisha na kwao maana ni tu much hasira ukiwaambia no movement of people.

Hila no ardhi yetu, wasipewe kabisa wabakie huko maotelini kupokea wazungu.
 
Katika kulitafutia ufumbuzi suala hili nguvu binafsi zinahitajika sana na wala si kutegemea hili jinamizi linaloitwa serikali. Hii serikali haipo kwa ajili ya watu wa chini na kati
 
labda hicho ndicho wasicho elewa amna anaesema wasije hila waje kwa mpango. Mmmh hila kwa jinsi walivyokuwa determined naanza kujiuliza sijui nini wanakijua kuhusu nchi yetu ambacho wenyewe atujui. Au labda wanaona kama vile first world kulinganisha na kwao maana ni tu much hasira ukiwaambia no movement of people.

Hila no ardhi yetu, wasipewe kabisa wabakie huko maotelini kupokea wazungu.

Kitu kilichopo kwanza waTz kujua thamani yao na kujua walichonacho. Masuala ya nafasi za maliasili, malighafi, nguvukazi, na mabo mengine ktk social aspects kama amani, kuheshimiana baina ya watu na mshikamano. Hivi ni vitu ambavyo kwa mataifa mengine ya kiafrika ni ndoto. Hizi components zingetumika vizuri tungekuwa mbali sana. Kitu ambacho nimeona kinakosekana na waTz kumiliki hizo njia za uchumi na hivyo kushindwa kuzitumia hizo fursa na matokeo yake kuwanufaisha wageni. Ukishindwa kuwa mwajiri ni vigumu kudhibiti ajira za wageni.
 
Wandugu,

Kenya hawauani kwa vile wana vinasaba vya ugomvi. It is simple -- 80% ya Wakenya wanaishi kwenye 10% ya nchi. Kwingine kote kukame. The same Rwanda, Burundi na Uganda: msongamano wa watu.

Nawasifu Wakenya kwa kuweza kukaa kwa amani miaka yote hiyo.

Jambo nisilokubali ni kufanya Tanzania kuwa ufumbuzi wa matatizo yao.

Wa kulaumiwa hapa ni watawala wetu waliokubali hilo.

It makes one cringe kufikiria ambavyo Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi watakapoanza kupunguzia matatizo yao kwa Tanzania!

Laiti tungekuwa na watawala welewa! au basi wananchi tungekuwa na sauti ya kuamua kuhusu mustakabala wa taifa letu!

Mlenge
 
Back
Top Bottom