Jinsi wababa wanavyokufa mapema

Daaah hiyo ni kweli mkuu hayo yametokea kwa familia yangu bi mkubwa ilikua ni ugomvi kila siku na msure mpaka wakatengana room mwisho wake tumemzika mwaka jani msure.
 
Ngumu kumesa...

Nimejikuta nawazia hii.

Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu pamoja na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia humsikiliza, huzingatia uwepo wake!

Muda wa tatizo.

Tatizo huanza pale baba anapozeeka, nguvu za uzalishaji mali zimekwisha, amestaafu! Na pale watoto wanapokua wamekua watu wazima wameanza maisha yao. Hapo ndiyo mambo kwa baba humgeuka.

Mkewe huanza kumchukulia poa na ile heshima aliyokuwa akipewa huanza kupungua taratiib, baba hasikilizwi tena kama zamani. Isitoshe anakua hahusishwi sana tena kwenye mambo ya mkewe sababu hata akiambiwa atasaidia nini na pesa hana?,badala yake mkewe huanza kuwafanya watoto kuwa washirika wake zaidi na kumuweka kando mumewe.

Baba anaachwa pembeni na Mama huanza safari kwenda kwa watoto, huko hukaa sana, baba kaachwa nyumbani peke yake.

Watoto wanagombea mama aende kwao, lkn baba hakuna anayemtaka.

Wakiwa nyumbani na mkewe, simu toka kwa watoto 80% anapigiwa mama, baada ya maongezi marefu, ndiyo baba anapewa simu anasalimiwa dakika mbili tu.

Imeisha hiyo!

Baba simu anayo japo ni kuu kuu la kizamani tofauti na ya kamera ya mama ila haoni simu za watoto wakimpigia, na wakimpigia ni kwa sababu maalumu tena maongezi huwa mafupi.
Hawana muda nae.

Baba anajikuta anakuwa mpweke sana, anakua mgeni kwa familia yake mwenyewe.

Wale ambao alizimalizia nguvu zake za ujana kuwatafutia hawana muda nae. Pale baba anapokuwa anaihitaji sana faraja ya familia yake sababu ameshazeeka.

Familia humpa kisogo.
Upweke unamsonga. Sababu ya upweke mawazo humsonga, hili hupelekea kinga ya mwili kushuka na kufanya iwe rahisi kushambuliwa na magonjwa na haichukui muda anafariki.

Familia watalia, watachapisha matisheti, watatoa pesa kumnunulia sanduku la gharama na kumjengea kaburi la gharama, mitandaoni watampost sana. Lakini alipokuwa hai "No one cares".

Tuwajali baba zetu, walijitoa na kujinyima sana kufanya tufike tuliko. Ni dhambi mbele za Mungu tena ni laana mbaya kuwapuuza baba zetu.

Wakati unaendelea kumsifia mama yako kuwa ni bora,msifie hata baba kwa kukuchagulia mama aliye bora.Mwanaume unamtumia mama laki moja baba anatumiwa elfu tano hivyo unapoka madaraka ya baba nyumbani maana mwenye pesa ndiye mwenye mamlaka.

Baba anaambiwa usipotii hutakula umesahau nawe ni mwanaume yatakukuta kama hayo.

Ujumbe huu uwafikie wana JF wote na wauangalie kwa jicho la tatu.
Aise
 
Ngumu kumesa...

Nimejikuta nawazia hii.

Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu pamoja na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia humsikiliza, huzingatia uwepo wake!

Muda wa tatizo.

Tatizo huanza pale baba anapozeeka, nguvu za uzalishaji mali zimekwisha, amestaafu! Na pale watoto wanapokua wamekua watu wazima wameanza maisha yao. Hapo ndiyo mambo kwa baba humgeuka.

Mkewe huanza kumchukulia poa na ile heshima aliyokuwa akipewa huanza kupungua taratiib, baba hasikilizwi tena kama zamani. Isitoshe anakua hahusishwi sana tena kwenye mambo ya mkewe sababu hata akiambiwa atasaidia nini na pesa hana?,badala yake mkewe huanza kuwafanya watoto kuwa washirika wake zaidi na kumuweka kando mumewe.

Baba anaachwa pembeni na Mama huanza safari kwenda kwa watoto, huko hukaa sana, baba kaachwa nyumbani peke yake.

Watoto wanagombea mama aende kwao, lkn baba hakuna anayemtaka.

Wakiwa nyumbani na mkewe, simu toka kwa watoto 80% anapigiwa mama, baada ya maongezi marefu, ndiyo baba anapewa simu anasalimiwa dakika mbili tu.

Imeisha hiyo!

Baba simu anayo japo ni kuu kuu la kizamani tofauti na ya kamera ya mama ila haoni simu za watoto wakimpigia, na wakimpigia ni kwa sababu maalumu tena maongezi huwa mafupi.
Hawana muda nae.

Baba anajikuta anakuwa mpweke sana, anakua mgeni kwa familia yake mwenyewe.

Wale ambao alizimalizia nguvu zake za ujana kuwatafutia hawana muda nae. Pale baba anapokuwa anaihitaji sana faraja ya familia yake sababu ameshazeeka.

Familia humpa kisogo.
Upweke unamsonga. Sababu ya upweke mawazo humsonga, hili hupelekea kinga ya mwili kushuka na kufanya iwe rahisi kushambuliwa na magonjwa na haichukui muda anafariki.

Familia watalia, watachapisha matisheti, watatoa pesa kumnunulia sanduku la gharama na kumjengea kaburi la gharama, mitandaoni watampost sana. Lakini alipokuwa hai "No one cares".

Tuwajali baba zetu, walijitoa na kujinyima sana kufanya tufike tuliko. Ni dhambi mbele za Mungu tena ni laana mbaya kuwapuuza baba zetu.

Wakati unaendelea kumsifia mama yako kuwa ni bora,msifie hata baba kwa kukuchagulia mama aliye bora.Mwanaume unamtumia mama laki moja baba anatumiwa elfu tano hivyo unapoka madaraka ya baba nyumbani maana mwenye pesa ndiye mwenye mamlaka.

Baba anaambiwa usipotii hutakula umesahau nawe ni mwanaume yatakukuta kama hayo.

Ujumbe huu uwafikie wana JF wote na wauangalie kwa jicho la tatu.
Aise
 
Nahakikisha account yangu benki imeshiba mpaka mwisho wa maisha yangu! Heshima itakuwepo kwa kigezo cha pesa. Ndio maana unakuta mtu mzima anatafuta nyumba ndogo ya kumliwaza

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Wababa wengi sio kwamba hawapendi kujenga bond na watoto wakiwa wadogo, lakini pilikapilika za utafutaji, wakirudi nyumbani akili yote inawaza kupumzika.. Wabadilishane mwezi mmoja, mama akatafute kwa njia za halali, halafu baba abaki aogeshe watoto, uone kama mama akirudi ataanza kupalangana na watoto
 
Wababa wengi wa kiafrika wanawalea watoto wao kwa mkono wa chuma kiasi kwamba tukio la mtoto kuweza kujitegemea inaonekana kama ni ukombozi kutoka kifungoni.......

Wakina baba wanatakiwa kubadilika na kutambua kuwa malezi au majukumu yao hayaishii kwenye kuleta chakula pekee nyumbani bali hata upendo kwa familia yako ni sehemu ya malezi........

Wakina baba wanaoishia kuwa wapweke utakuta kuwa walikuwa wanaishi kwa kuwanyanyasa hao aliopaswa kuwaongoza kwa upendo....
 
Wababa wengi sio kwamba hawapendi kujenga bond na watoto wakiwa wadogo, lakini pilikapilika za utafutaji, wakirudi nyumbani akili yote inawaza kupumzika.. Wabadilishane mwezi mmoja, mama akatafute kwa njia za halali, halafu baba abaki aogeshe watoto, uone kama mama akirudi ataanza kupalangana na watoto
Wanawake ni multipurpose mkuu..mfano mie leo nimetoka hom asbh...nimefika hom saa11..mwenzangu kafika saa9 akalala..mie nimefikia jikoni nimepika, nikahakakikisha wanangu wanaoga before saa1 usk na wamefanya homwork...saa 1 nikaenda kwa client wangu 1 nikamchek na nikarudi na maji...saa2 niko hom wamefanya homework zao....muda huo mwenzangu kashaenda kusafisha koo...umeona kazi nilizofanya toka saa11-2? Kupika,kusimamia waoge,nk nk
 
Wanawake ni multipurpose mkuu..mfano mie leo nimetoka hom asbh...nimefika hom saa11..mwenzangu kafika saa9 akalala..mie nimefikia jikoni nimepika, nikahakakikisha wanangu wanaoga before saa1 usk na wamefanya homwork...saa 1 nikaenda kwa client wangu 1 nikamchek na nikarudi na maji...saa2 niko hom wamefanya homework zao....muda huo mwenzangu kashaenda kusafisha koo...umeona kazi nilizofanya toka saa11-2? Kupika,kusimamia waoge,nk nk

Ni kweli ulichosema lakini sio kwa kesi yako hii ulioitokea mfano mkuu.

Kwa kesi yako hii umefanya kitu ambacho tangu asubuhi kilikuwa kichwani kwako kama jukumu lako ukirudi nyumbani. Na si ajabu unafanya kila siku.

Kwasababu society zetu zimetengezwa kwa mfumo huo, kama vile ambavyo ikitokea watoto wakakwama ada, ni rahisi wewe kuwaambia watoto wampe baba taarifa lakini sio baba awaambie watoto wakupe wewe taarifa za kulipa ada.

Na hapo hatujaja upande wa anachofanya mwenzako, kwa mfano mzee trafic wewe ni mwalimu, unafikiri mkirudi nyumbani mtakuwa na energy sawa mkuu ? Maana kutoka nyumbani na kurudi jioni bado inategemea huko mlipoenda kila mmoja anajishughulisha na nini.
 
Ni kweli ulichosema lakini sio kwa kesi yako hii ulioitokea mfano mkuu.

Kwa kesi yako hii umefanya kitu ambacho tangu asubuhi kilikuwa kichwani kwako kama jukumu lako ukirudi nyumbani. Na si ajabu unafanya kila siku.

Kwasababu society zetu zimetengezwa kwa mfumo huo, kama vile ambavyo ikitokea watoto wakakwama ada, ni rahisi wewe kuwaambia watoto wampe baba taarifa lakini sio baba awaambie watoto wakupe wewe taarifa za kulipa ada.

Na hapo hatujaja upande wa anachofanya mwenzako, kwa mfano mzee trafic wewe ni mwalimu, unafikiri mkirudi nyumbani mtakuwa na energy sawa mkuu ? Maana kutoka nyumbani na kurudi jioni bado inategemea huko mlipoenda kila mmoja anajishughulisha na nini.


😷😷😷
 
Nimepitia comments kadhaa hapo juu nimesoma na kuona lawama ndiyo nyingi kuliko uhalisia.

Kwanza nowdays wengi wa wanaume wameacha majukumu yao ya asili na kuwaachia kina mama hapo mzee lazima ulaumiwe.

Majukumu yote ya nyumbani ni haki ya Baba wala siyo Mama, hii dhana ya kumfanya mama ndiye housemate imekuja automatically ila asili ni majukumu ya Baba.

Nina point kutoka kwenye kitabu cha dini na hata Biblia.
MWANZO 2:20; 👉🏾lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.

Kuna kitabu flani kinaitwa Mashauri juu ya Kanisa, humo kuna paragraph zina maelezo juu ya malezi ni jukumu la nani;

Mfano; Baba anapokuwepo anapaswa kuwasimamia watoto na majukumu yote hapo nyumbani na pale unapokuwa mbali na nyumbani inakuwa ni jukumu la Mama kusimamia na kuongoza nyumba.

NB, ikitokea jambo lolote la watoto au nyumba kuvurugika baba ukiwepo mwandishi anasema huo ni mzigo wako na ikitokea the same haupo nyumbani na mama ndiye alikuwepo basi mama anabeba mzigo wa lawama.

INSHORT; Mungu aliweka utaratibu mapema sana juu ya malezi ila mwanadamu anajitafutia kuwa na akili kutaka kubadili na hapo ndipo kosa linapokuja.

Kitabu kizuri sana ila nashindwa kukiweka hapa, kina mambo kama haya hapa chini, soma uongeze knowledge...

👉🏾The Sacredness of a Mother’s Work
Woman should fill the position which God originally designed for her, as her husband’s equal. The world needs mothers who are mothers not merely in name but in every sense of the word. We may safely say that the distinctive duties of woman are more sacred, more holy, than those of man. Let woman realize the sacredness of her work and in the strength and fear of God take up her life mission. Let her educate her children for usefulness in this world and for a home in the better world.
...
 
Wababa wengi kinachogharimu kwetu ni bond baina yetu na watoto..familia nyingi wababa wanashindwa kuivunja hii mapema..inafaa mtoto akishafikisha miaka 10 bond ya baba kwa mtoto Ife iwe baba na rafiki...

wababa wengi hilo hawaliwwzi..wanakomaa na ubaba wao(ukali, umungu mtu, na misimamo mikali kwa watoto ) mpaka mtoto anakuwa mtu mzima..anakuwa ameshasoma mazingira ya mshua kwamba pigo hizi hataki n.k..so anajikuta kimbilio lake linaelekea kwa.mama ..mama ataambiwa siri kibao..ataambiwa masuala ya mahusiano..na mengineyo mengi..Kisha baada ya masiku mengi ndio ataambiwa baba..simple because ya misimamo mikali ya mshua..

so kikubwa wazazi wababa wa kitanzania kwanzA win maisha ya kijana wako kwa kumfanya kuwa rafiki. Uwa huo mpaka wa ubaba..mfanye mwanzo akuone baba rafiki na sio baba mungu...

punguza ukali na kuunguruma nguruma kwema ng'ombe kila muda...n.k
 
Mimi hua nalinganisha akili za mwanamke na za mtoto sorry kwa ntakaowauzi ila kwa uchunguzi wangu naona akili ya mtoto hua inafikiri zaidi kilichopo karibu kwa muda huo(subconcious mind ikisave ndo basi hadi ukubwani) sawa na mwanamke, Hapa ni sawa na mwanamke apate mwanaume anaemjali kwa kumpa pesa na vitu vizurivizuri ila yupo bize na kazi, alafu apate mchepuko hauna mbele wala nyuma ila unajua michezo alafu ndo unakuwa nae karibu muda mrefu.....Mwenye hela zake lazima apigwe bao.
 
Back
Top Bottom