Tatetitotu
Member
- Mar 6, 2018
- 58
- 42
Kutokana na hali ngumu ya uchumi nina hakika wengi wetu tunatumia smart phone za chini ya laki 2 fikiria una simu yako ya laki moja na bundle lako la kubahatisha hafu ukifungua page tofauti kwa mtandao unakutana na Tangazo la Offer(promotion) toka Tigo Samsung Galaxy S9+ Sh.2,315,000// tuuu HUWA UNAJISIKAJE?